Kenya yaanzisha mchakato wa kuunda tume mpya ya uchaguzi
Rais wa Kenya William Ruto ameteua jopo la watu tisa walio na jukumu la kuwasaili na kuwachuja watakaokuwa kwenye nafasi za Uenyekiti na makamishna wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC).
Rais wa Kenya William Ruto ameteua jopo la watu tisa walio na jukumu la kuwasaili na kuwachuja watakaokuwa kwenye nafasi za Uenyekiti na makamishna wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC).
Raila amezidi kusisitiza sava za tume ya uchaguzi nchini Kenya (IEBC) zifunguliwe,Ila Rais Ruto naye amemjibu akisema kuwa sava zipo wazi kwa kila mmoja kuangalia matokeo ya uchaguzi mkuu wa 2022.
Makamishna hao ni makamu mwenyekiti Juliana Whonge Cherera, makamishna Francis Mathenge Wanderi, Irene Cherop Masit na Justus Abonyo Nyang’aya
Jaji mkuu Martha Koome amesema walalamishi walikosa kutoa ushahidi wa kutosha kuonyesha uchaguzi haukuwa wa haki.
Sasa ni wazi kuwa mgombea wa Azimio la Umoja One Kenya Raila Odinga atarejea katika mahakama ya upeo mwaka huu baada ya tume huru ya uchaguzi na mipaka IEBC kumtangaza William Ruto kama mshindi wa uchaguzi mkuu wa agosti mwaka 2022.
The Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC) now says it will comply with the High Court ruling and use the…
Ukaguzi wa sajili ya Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) uligundua maafisa wasimamizi wa uchaguzi (returning officers) kumi na…
Jaji wa Mahakama Kuu Mugure Thande katika uamuzi wake ameishinikiza Tume ya Uchaguzi itumie sajili hiyo kama njia mbadala
Aliyekuwa gavana wa Nairobi Mike Sonko amewasilisha rufaa katika Mahakama ya Afrika Mashariki kupinga uamuzi wa Mahakama ya Juu zaidi
Utafiti wa hivi punde zaidi wa Infotrak unaonyesha kuwa Naibu Rais William Ruto anaungwa mkono kwa wingi katika eneo la Mlima Kenya.