Afisa wa bunge: Watoto 71 wauawa nchini Ukraine kufikia sasa
Takriban watoto 71 wameuawa na zaidi ya 100 kujeruhiwa nchini Ukraine tangu Rais wa Urusi Vladimir Putin kuanzisha vita Februari 24, afisa wa bunge la Ukraine alisema Alhamisi.
Takriban watoto 71 wameuawa na zaidi ya 100 kujeruhiwa nchini Ukraine tangu Rais wa Urusi Vladimir Putin kuanzisha vita Februari 24, afisa wa bunge la Ukraine alisema Alhamisi.