Nitatafuta haki kwa njia ya amani, asema kiongozi wa Azimio Raila Odinga
Kiongozi wa Azimio la umoja raila Odinga amewataka wakenya kudumisha amani wakati akiendelea kutatafuta haki mahakamani.
Kiongozi wa Azimio la umoja raila Odinga amewataka wakenya kudumisha amani wakati akiendelea kutatafuta haki mahakamani.
Aliyekuwa gavana wa Nairobi Mike Sonko amewasilisha rufaa katika Mahakama ya Afrika Mashariki kupinga uamuzi wa Mahakama ya Juu zaidi
Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka imetangaza kwenye gazeti la serikali majina 38 ya wagombea urais wanaotaka kuwania kiti cha urais katika uchaguzi wa Agosti kama wagombea binafsi.
Utafiti huo pia ulifichua kuwa wengi wa wafuasi wa Naibu Rais Ruto ni vijana wenye umri wa miaka 18-35, huku Odinga akiungwa mkono na wazee.
Rais wa zamani wa Kenya Mwai Kibaki, ambaye aliongoza Kenya kwa zaidi ya muongo mmoja amefariki dunia,