Kevin McCarthy apoteza kura ya 11 ya uspika Marekani, Je atashinda nafasi hiyo?
Kundi la wabunge 20 wenye msimamo mkali wa chama chake cha Republican wamekataa kumpa McCarthy kura 218 zinazohitijaka kumfanya spika wa bunge hilo.
Kundi la wabunge 20 wenye msimamo mkali wa chama chake cha Republican wamekataa kumpa McCarthy kura 218 zinazohitijaka kumfanya spika wa bunge hilo.
Mwili wa marehemu uligunduliwa baada ya wahudumu wa bodaboda, kushuhudia gari likitupa sanduku kuukuu la chuma kando ya njia.
Mwili huo umepatikana mida ya saa kumi na mbili jioni na familia ambayo ilikuwa inasaka jamaa yao aliyekuwa ametoweka na aliyekuwa ameripotiwa kuzama katika mto huo wiki chache zilizopita.
TikTok is the equivalent of “digital fentanyl,”, one of the leading voices in Congress against China, comparing the app to the deadly opioid.
Otieno alipatikana na dawa iliyopigwa marufuku ya anabolic steroid methasterone na alisimamishwa kushiriki Olimpiki ya Tokyo mnamo 2021 muda mfupi kabla ya kushiriki katika mbio za mita 100
The existence of such an office has not been announced or constituted, hence it remains unknown how the office was established
Ziara ya Dorsey Nairobi inafuatia kuonekana huko Accra, Ghana, ambako alihudhuria Mkutano wa 2022 wa Bitcoin ambao ulifanyika kuanzia Desemba 5 – Desemba 7
Kiungo huyo wa zamani wa Tottenham mwenye umri wa miaka 31 alisema ameamua kurejea Harambee Stars baada ya kukutana na Waziri wa Michezo wa Kenya Ababu Namwamba
Wildlife has also paid a heavy price, with 205 elephants, 512 wildebeest, 381 zebras and 12 giraffes dying from the drought between February and October this year