Hatimaye Makamishna Wanne wa IEBC wasimamishwa kazi rasmi.
Makamishna hao ni makamu mwenyekiti Juliana Whonge Cherera, makamishna Francis Mathenge Wanderi, Irene Cherop Masit na Justus Abonyo Nyang’aya
Makamishna hao ni makamu mwenyekiti Juliana Whonge Cherera, makamishna Francis Mathenge Wanderi, Irene Cherop Masit na Justus Abonyo Nyang’aya
Maafisa wa usalama wa Uganda wamezuilia boti nane za wavuvi, ambazo wamiliki wake raia wa Kenya walituhumiwa kwa kuingia katika Ziwa Victoria
Waziri wa Michezo wa Kenya Ababu Namwamba alishukuru Riadha ya Dunia kwa kuipa nchi hiyo nafasi ya pili na kusema kuwa serikali iko tayari kupigana “vita” dhidi ya matumizi ya dawa za kusisimua misuli
FIFA imeondoa marufuku kwa shirikisho la soka la Kenya, kufuatia uamuzi wa serikali kurejesha chombo hicho baada ya kulivunja kwa madai ya rushwa
They launched a public appeal for donations on Sunday, claiming the team has not been paid in months and players badly needed money ahead of several international matches
Former Kenyan Olympic Committee official Stephen arap Soi was released from prison on Thursday after a Nairobi court overturned his conviction for embezzlement at the Rio Olympics
Zoezi hilo litashuhudia wanafunzi wapatao milioni 1.3 wakijiandaa kwa mitihani ya kitaifa inayotarajiwa kufanyika kuanzia Novemba 28 hadi 30.
A wife and mother of three, Wanjeri fearlessly chose to walk this path as a human rights defender, describing it as a calling fueled only by passion
Uteuzi wa Atwoli uliidhinishwa kwa kauli moja na zaidi ya wajumbe 2000 na kufungua njia kwa muhula wake wa miaka mine katika ITUC, ambayo ina makao yake makuu mjini Brussels, Ubelgiji.
Football’s world body said the decision was taken following “discussions” with World Cup hosts Qatar, an Islamic state which severely restricts alcohol consumption.