• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Latest Tanzania news

Wachimbaji wadogo kutengewa maeneo maalum Tanzania
Africa East Africa Environment

Wachimbaji wadogo kutengewa maeneo maalum Tanzania

Asia GambaFebruary 23, 2022February 23, 2022

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema serikali itaendelea kuwawezesha wachimbaji wadogo kwa kutenga maeneo maalum kwa ajili yao na kutoa huduma za tafiti kwa gharama nafuu.

Mwenyekiti wa BAZECHA, akamatwa tena na polisi nchini Tanzania
East Africa Politics Tanzania

Mwenyekiti wa BAZECHA, akamatwa tena na polisi nchini Tanzania

Asia GambaFebruary 23, 2022July 2, 2024

Mkurugenzi wa Mashitaka nchini Tanzania(DPP), Sylvester Mwakitalu leo amemuomdolea mashitaka ya uchochezi Mwenyekiti wa Baraza la Wazee la Chadema, Hashimu Juma, yaliyokuwa yanamkabili ya uchochezi kupitia kifungu cha 90 (1), katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es salaam

Rais Samia agusia tena matukio ya mauaji nchini Tanzania
Africa

Rais Samia agusia tena matukio ya mauaji nchini Tanzania

Asia GambaFebruary 22, 2022February 23, 2022

Asisitiza viongozi wa dini na machifu kuirejesha jamii karibu na Mungu kuondoa imani potofu

Askofu Niwemugizi amsihi Rais Samia kutokubali kulinganishwa na Mungu.
Religion Tanzania

Askofu Niwemugizi amsihi Rais Samia kutokubali kulinganishwa na Mungu.

Asia GambaFebruary 22, 2022July 2, 2024

Askofu wa Jimbo Katoliki  la Rulenge-Ngara, Severine Niwemugizi amemsihi Rais Samia Suluhu Hassan kutokubali kulinganishwa na Mungu kwa namna yoyote ile.

Kamati ya PAC Tanzania yabaini hasara ya bilioni 60 ATCL
Africa

Kamati ya PAC Tanzania yabaini hasara ya bilioni 60 ATCL

Asia GambaFebruary 18, 2022February 23, 2022

Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) Shirika la Ndege (ATCL) lilipata hasara ya shilingi bilioni 60.24 kwa mwaka wa fedha 2019 /2020.

Kigogo wa ZRB atumbuliwa kwa ufisadi wa bilioni 9.65, Zanzibar
Africa East Africa

Kigogo wa ZRB atumbuliwa kwa ufisadi wa bilioni 9.65, Zanzibar

Asia GambaFebruary 17, 2022February 23, 2022

Rais  wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi, ametengua uteuzi wa Kamisha Mkuu wa Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB), Salum Yussuf Ali na kumsimamisha kazi Mkurugenzi wa Usajili, Ukaguzi na Upelelezi wa Walipa Kodi wa mamlaka hiyo, Hashim Kombo Haji, ili kupisha uchunguzi wa upotevu wa shilingi bilioni  9.65.

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo