Mauaji ya Mwanaharakati wa LGBTQ Kenya Yalaaniwa na watetezi wa haki za kibinadamu
Mwili wa marehemu uligunduliwa baada ya wahudumu wa bodaboda, kushuhudia gari likitupa sanduku kuukuu la chuma kando ya njia.
Mwili wa marehemu uligunduliwa baada ya wahudumu wa bodaboda, kushuhudia gari likitupa sanduku kuukuu la chuma kando ya njia.
Mapenzi ya jinsia moja ni kinyume cha sheria nchini Iran, hii ikiwa mojawapo ya maeneo yenye ukandamizaji mkubwa wa watu wa makundi ya LGBTQ.
The United Nations on Thursday launched a campaign against gender-based violence on the internet, complete with the symbol ⓑ
Makundi maalum yaani ‘key populations’ huchangia katika maambukizi mapya ya ugonjwa wa Ukimwi. Mwanahabari wetu @medzamaureen alizungumza na mwanaharakati wa makundi ya LGBTQ na watu wanaoishi na VVU kuhusiana na mchango wao katika kuangamiza janga la Ukimwi