• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: M23

Maandamano ya kuipinga Rwanda kwa ‘kuunga mkono’ waasi yafanyika DR Congo
Africa Features

Maandamano ya kuipinga Rwanda kwa ‘kuunga mkono’ waasi yafanyika DR Congo

Maureen MedzaMay 31, 2022May 31, 2022

Katika shambulio la hivi punde la waasi, watu 16 waliuawa 7 kujeruhiwa na magari yalichomwa wakati wa uvamizi wa usiku katika eneo lenye hali tete la mashariki, Shirika la Msalaba Mwekundu lilisema

DR Congo: Mapigano yasababisha watu 37,000 kutoroka makazi yao
Africa Features Politics

DR Congo: Mapigano yasababisha watu 37,000 kutoroka makazi yao

Maureen MedzaMay 27, 2022May 27, 2022

Kulingana na NGOs, takriban watu 26,000 wamekimbia eneo la Rutshuru tangu Mei 22. Watu wengine 11,000 wamekimbia eneo la Nyiragongo

Mapigano yazuka karibu na mji wa Goma mashariki mwa DR Congo
Africa Features Politics

Mapigano yazuka karibu na mji wa Goma mashariki mwa DR Congo

Maureen MedzaMay 25, 2022May 25, 2022

Wanamgambo wa M23 waliibuka kutoka kwa uasi wa Watutsi wa Congo mwaka wa 2013 ambao uliungwa mkono na nchi jirani za Rwanda na Uganda wakati huo.

Rwanda yasema watu kadhaa wamejeruhiwa katika mashambulizi ya makombora DRC
Africa East Africa Features Politics

Rwanda yasema watu kadhaa wamejeruhiwa katika mashambulizi ya makombora DRC

Maureen MedzaMay 24, 2022May 24, 2022

Majirani hao wawili wamekuwa na uhusiano wa kikatili tangu mauaji ya kimbari ya 1994.

Waasi wa M23 watangaza ‘kujiondoa’ kutoka vijiji vya DR Congo
East Africa Features Politics

Waasi wa M23 watangaza ‘kujiondoa’ kutoka vijiji vya DR Congo

Maureen MedzaApril 11, 2022April 11, 2022

Kundi la M23 lilianzishwa miongoni mwa wanachama wa zamani wa wanamgambo wa Kitutsi wa Congo ambao wakati fulani waliungwa mkono na Rwanda na Uganda.

Wanajeshi 8 wa kulinda amani wa UN wamefariki katika ajali ya helikopta nchini DR Congo
Africa East Africa Features People Politics

Wanajeshi 8 wa kulinda amani wa UN wamefariki katika ajali ya helikopta nchini DR Congo

Maureen MedzaMarch 30, 2022March 30, 2022

Wanajeshi wanane waliuawa Jumanne wakati helikopta ya Puma ilipoanguka DR Congo

Posts navigation

Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy