Jeshi lililochukua uongozi Mali laamuru kituo cha Ufaransa RFI, na France 24 kusimamisha matangazo yao
RFI (Radio France Internationale) na France 24 zinaripoti habari za Kiafrika kwa upana na zina ufuasi mkubwa katika koloni la zamani la Ufaransa.
RFI (Radio France Internationale) na France 24 zinaripoti habari za Kiafrika kwa upana na zina ufuasi mkubwa katika koloni la zamani la Ufaransa.
Economic Community of West Africa States agreed to sanction Mali last week imposing a trade embargo and shutting borders.