Waziri Mkuu wa Italia Mario Draghi ajiuzulu
Kujiuzulu kwa Draghi kumekuja baada ya vyama kadhaa muhimu katika muungano wake vuguvugu lenye nguvu la 5-Star, chama kikubwa zaidi katika serikali ya mseto ya nchi hiyo, kususia kura ya imani
Kujiuzulu kwa Draghi kumekuja baada ya vyama kadhaa muhimu katika muungano wake vuguvugu lenye nguvu la 5-Star, chama kikubwa zaidi katika serikali ya mseto ya nchi hiyo, kususia kura ya imani
Waziri Mkuu wa Italia Mario Draghi aliwasili Algeria huku Roma ikiongeza juhudi za kupunguza utegemezi wake mkubwa wa gesi ya Urusi.