• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Martha Karua

Nitatafuta haki kwa njia ya amani, asema kiongozi wa Azimio Raila Odinga
East Africa

Nitatafuta haki kwa njia ya amani, asema kiongozi wa Azimio Raila Odinga

Victor WanaswaAugust 20, 2022August 21, 2022

Kiongozi wa Azimio la umoja raila Odinga amewataka wakenya kudumisha amani wakati akiendelea kutatafuta haki mahakamani.

Kenya: Karua amkosoa rais mteule William Ruto
Kenya Politics

Kenya: Karua amkosoa rais mteule William Ruto

Victor WanaswaAugust 19, 2022July 2, 2024

Mgombea mwenza wa  Azimio la Umoja Martha Karua amemkashifu rais mteule William Ruto kwa kile ametaja kama kwenda kinyume na sheria ya Kenya katika kuvutia upande wake vyama washirika wa Azimio la Umoja.

Kenya: Raila Odinga asema hatashiriki mdahalo wa wagombea urais
Features People Politics

Kenya: Raila Odinga asema hatashiriki mdahalo wa wagombea urais

Maureen MedzaJuly 25, 2022July 25, 2022

Odinga, 77, waziri mkuu wa zamani na Naibu Rais William Ruto, 55, ndio wagombea wakuu katika uchaguzi wa urais wa Agosti 9.

Kenya: Wafahamu wagombea wenza katika uchaguzi wa Agosti 9
East Africa Features People Politics

Kenya: Wafahamu wagombea wenza katika uchaguzi wa Agosti 9

Maureen MedzaJuly 19, 2022July 19, 2022

Mjadala wa manaibu Rais utafanyika Jumanne, Julai 19 katika Chuo Kikuu cha Catholic University of East Africa (CUEA) huko Karen, Nairobi.

William Ruto ni maarufu zaidi katika eneo la Mlima Kenya – Utafiti wa Infotrak
East Africa Features People Politics

William Ruto ni maarufu zaidi katika eneo la Mlima Kenya – Utafiti wa Infotrak

Maureen MedzaJuly 13, 2022July 13, 2022

Utafiti wa hivi punde zaidi wa Infotrak unaonyesha kuwa Naibu Rais William Ruto anaungwa mkono kwa wingi katika eneo la Mlima Kenya.

Kenya: Uingereza, EU inaamini kutakuwa na uchaguzi wa kuaminika mnamo Agosti 9
East Africa Features People Politics

Kenya: Uingereza, EU inaamini kutakuwa na uchaguzi wa kuaminika mnamo Agosti 9

Maureen MedzaJuly 12, 2022July 12, 2022

Marriot alisema kuwa taifa lake halitaegemea upande wowote na halina ajenda ila kusaidia kuhakikisha watu wa Kenya wanakuwa na uchaguzi wenye mafanikio.

William Ruto azindua manifesto ya Kenya Kwanza
East Africa People Politics

William Ruto azindua manifesto ya Kenya Kwanza

Maureen MedzaJuly 1, 2022July 1, 2022

Zaidi ya hayo, kaunti zitahimizwa kuondoa ada za leseni za biashara mpya zilizoanzishwa na watu wenye ulemavu, huku zikiondoa ushuru wa vifaa vyote vya usaidizi kwa walemavu vinavyoagizwa kutoka nje.

Kenya: Raila Odinga azindua manifesto yake anapowania kiti cha rais
East Africa Features People Politics

Kenya: Raila Odinga azindua manifesto yake anapowania kiti cha rais

Maureen MedzaJune 7, 2022June 7, 2022

Mgombea urais wa muungano wa Azimio Raila Odinga Jumatatu alizundua manifesto yake yenye ahadi 10, akiahidi kuinua uchumi ndani ya siku 100 za uongpzi wake kama Rais wa Kenya.

Kenya: Itifaki yavunjwa ,Ruto akosa kuwahutubia  wakenya katika sherehe za madaraka
East Africa Features People Politics

Kenya: Itifaki yavunjwa ,Ruto akosa kuwahutubia wakenya katika sherehe za madaraka

Maureen MedzaJune 1, 2022June 1, 2022

Uhuru, ambaye pia ni mlezi katika Muungano wa Azimio La Umoja One Kenya amemtaja Raila kama mtu bora zaidi kumrithi, kwa kile naibu wake Ruto amekitaja kuwa usaliti.

Martha Karua, Mgombea mwenza wa Raila Odinga
Entertainment Features People Politics

Martha Karua, Mgombea mwenza wa Raila Odinga

Maureen MedzaMay 19, 2022May 19, 2022

Martha Karua huenda akawa naibu rais wa kwanza mwanamke katika historia ya Kenya, iwapo Muungano wa, Azimio la Umoja One Kenya, utashinda uchaguzi wa Agosti 9.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo