William Ruto azindua manifesto ya Kenya Kwanza
Zaidi ya hayo, kaunti zitahimizwa kuondoa ada za leseni za biashara mpya zilizoanzishwa na watu wenye ulemavu, huku zikiondoa ushuru wa vifaa vyote vya usaidizi kwa walemavu vinavyoagizwa kutoka nje.
Zaidi ya hayo, kaunti zitahimizwa kuondoa ada za leseni za biashara mpya zilizoanzishwa na watu wenye ulemavu, huku zikiondoa ushuru wa vifaa vyote vya usaidizi kwa walemavu vinavyoagizwa kutoka nje.
Mgombea urais wa muungano wa Azimio Raila Odinga Jumatatu alizundua manifesto yake yenye ahadi 10, akiahidi kuinua uchumi ndani ya siku 100 za uongpzi wake kama Rais wa Kenya.
Uhuru, ambaye pia ni mlezi katika Muungano wa Azimio La Umoja One Kenya amemtaja Raila kama mtu bora zaidi kumrithi, kwa kile naibu wake Ruto amekitaja kuwa usaliti.
Martha Karua huenda akawa naibu rais wa kwanza mwanamke katika historia ya Kenya, iwapo Muungano wa, Azimio la Umoja One Kenya, utashinda uchaguzi wa Agosti 9.
Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka imetangaza kwenye gazeti la serikali majina 38 ya wagombea urais wanaotaka kuwania kiti cha urais katika uchaguzi wa Agosti kama wagombea binafsi.
Sauti Sol ilikashifu muungano wa Azimio One Kenya Party inayoongozwa na Raila Odinga kwa kutumia wimbo wao “Extravaganza,” kwenye kampeini