Mahakama ya Morocco yawafunga jela wahamiaji 33 wa Melilla
Takriban wahamiaji 23 walikufa baada ya takriban watu 2,000, wengi kutoka Sudan, kuvamia mpaka huo tarehe 24 Juni ikiwa ni idadi kubwa zaidi ya vifo kuwahi kutokea
Takriban wahamiaji 23 walikufa baada ya takriban watu 2,000, wengi kutoka Sudan, kuvamia mpaka huo tarehe 24 Juni ikiwa ni idadi kubwa zaidi ya vifo kuwahi kutokea
Takriban wahamiaji 23 ambao walikufa mwezi uliopita katika jaribio la kuingia katika eneo la Uhispania la Melilla kutoka Morocco huenda “walikosa hewa,’ shirika la kutetea haki za binadamu la CNDH lilisema.
Kesi ya wahamiaji 36 wanaoshtakiwa kwa ‘kuingia Morocco kinyume cha sheria,’ ilianza Jumatatu siku chache baada ya jaribio kubwa la kuvuka hadi katika eneo la Uhispania.
Mwimbaji na mcheza saxophone huyo alikuwa amepangwa kucheza siku ya Jumamosi katika tamasha la Jazzablanca katika jiji la bandari la Morocco la Casablanca.
At least 23 migrants died and 140 police officers were wounded in the ensuing violence, according to Moroccan authorities. It was the heaviest toll in years from such attempts to cross the frontier at Melilla.