Msumbiji yaondoa kitabu kinachofunza kuhusu ngono kutoka kwa mtaala wao.
Kitabu hicho cha sayansi ya asili kinazungumzia masuala kama vile kupiga punyeto na mwelekeo wa kijinsia.
Kitabu hicho cha sayansi ya asili kinazungumzia masuala kama vile kupiga punyeto na mwelekeo wa kijinsia.
Shirika la WHO likinukuu makadirio kutoka kwa mamlaka ya kitaifa, lilisema takriban watu 595,000 wanaweza kuathiriwa moja kwa moja na Batsirai, na wengine 150,000 wanaweza kuyahama makazi yao kwa sababu ya maporomoko ya ardhi na mafuriko.
Their deployment to African countries aims to “enable Russia to… regain this sphere of influence” that fell away with the collapse of the Soviet Union,
Tuahil Muhidim led a 2020 attack that captured Mocimboa da Praia, the northern port used to receive cargo for multi-billion-dollar gas projects in the region.
The fighting in northern Mozambique has occasionally spilled across the border.
“Due to road cut-offs… communities are being forced to carry the dead for burial to their respective destinations,” Department of Disaster Management said.
Msumbiji na vituo vya hali ya hewa vya kimataifa vilionya kwamba dhoruba nyingine, iitwayo Batsirai, imezuka kwenye Bahari ya Hindi na inaelekea nchi kavu
Mapigano yamesababisha vifo vya zaidi ya watu 3,306 wengi wao ikiwa ni raia, na kuwafurusha wengine 800,000 kutoka majumbani mwao.