Mwanasiasa aliyekufa achaguliwa tena Pennsylvania
Mbunge wa jimbo la Pennsylvania, Tony DeLuca, ambaye alifariki kutokana na saratani mwezi uliopita alichaguliwa tena kwa kura nyingi
Mbunge wa jimbo la Pennsylvania, Tony DeLuca, ambaye alifariki kutokana na saratani mwezi uliopita alichaguliwa tena kwa kura nyingi
Burkina Faso’s new legislative assembly opened on Friday with a call for self-sacrifice by the 71 members appointed by the junta that seized power a month ago
Kocha wa zamani wa Luton anachukua nafasi ya Ralph Hasenhuttl
Afrika Kusini imeondoa masharti ya visa kwa Wakenya wanaosafiri kwenda taifa hilo la kusini mwa Afrika kuanzia Januari 2023 kwa muda wa siku 90 kila mwaka
Facebook owner Meta will lay off more than 11,000 of its staff in “the most difficult changes we’ve made in Meta’s history”, boss Mark Zuckerberg said on Wednesday
Mahakama iliwaamuru kusitisha mgomo wao wa siku kadhaa uliosababisha mamia ya safari za ndege kufutwa na maelfu ya abiria kukwama
Jaji Anna Mwaure siku ya Jumanne aliamuru “marubani wa Kenya Airways kurejelea majukumu yao kama marubani ifikapo saa 12 asubuhi tarehe 9 Novemba 2022 bila masharti”
The meeting was held in in Shamar El Sheikh, Egypt,on the sidelines of the meeting of United Nations Framework on Climate Change (COP-27)
Ike Ekweremadu, 60, anatuhumiwa na mkewe, Beatrice, 56, binti yao, Sonia, 25, na daktari kwa kumleta mwanamume ,21, kutoka Nigeria ili figo yake iondolewe
Grieving Tanzanians paid emotional tribute Monday to 19 people killed when a passenger plane plunged into Lake Victoria in the country’s deadliest air crash in decades