• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Omar al Bashir

Idadi ya vifo kutokana na mapigano ya kikabila Sudan yaongezeka hadi 105
Africa Features Politics

Idadi ya vifo kutokana na mapigano ya kikabila Sudan yaongezeka hadi 105

Maureen MedzaJuly 21, 2022July 21, 2022

Mapigano yalizuka katika jimbo la kusini ambalo linapakana na Ethiopia na Sudan Kusini mnamo Julai 11 kati ya watu wa makabila ya Berti na Hausa.

Sudan yaondoa hali ya hatari iliyowekwa tangu mapinduzi ya mwaka jana
Africa Features People Politics

Sudan yaondoa hali ya hatari iliyowekwa tangu mapinduzi ya mwaka jana

Maureen MedzaMay 30, 2022May 30, 2022

Sudan imekuwa ikikabiliwa na machafuko yanayozidi kuongezeka tangu Burhan aongoze mapinduzi mnamo Oktoba 25

#Sudan: Ghasia katika jimbo la Darfur zasababisha vifo vya watu 168
Africa Features Politics

#Sudan: Ghasia katika jimbo la Darfur zasababisha vifo vya watu 168

Maureen MedzaApril 25, 2022April 25, 2022

Darfur, ambayo imekumwa na vita vya wenyewe kwa wenyewe vilivyozuka mwaka 2003, imeshuhudia ongezeko la vita na mauaji  tangu Oktoba mwaka jana

Mapigano mapya katika jimbo la Darfur nchini Sudan yasababisha vifo vya takriban watu 19
Africa Features Politics

Mapigano mapya katika jimbo la Darfur nchini Sudan yasababisha vifo vya takriban watu 19

Maureen MedzaMarch 12, 2022March 12, 2022

Mapigano mapya yaliyozuka Alhamisi yameshuhudia makundi yenye silaha yakipigana katika milima ya Jebel Moon katika jimbo la Darfur Magharibi

Kiongozi mkuu wa upinzani Sudan akamatwa kwenye maandamano
Africa Features People Politics

Kiongozi mkuu wa upinzani Sudan akamatwa kwenye maandamano

Maureen MedzaMarch 9, 2022March 9, 2022

Takriban watu 85 wameuawa na mamia kujeruhiwa na vikosi vya usalama wakati wa miezi minne ya maandamano ya kudai utawala wa kiraia na haki

Vitoa machozi vyafyatuliwa dhidi ya waandamanaji Sudan
Africa Features Politics

Vitoa machozi vyafyatuliwa dhidi ya waandamanaji Sudan

Maureen MedzaFebruary 21, 2022February 21, 2022

Maandamano yameitikisa nchi hiyo tangu mkuu wa jeshi Abdel Fattah al-Burhan kuongoza unyakuzi wa kijeshi mwezi Oktoba

Vikosi vya usalama vya Sudan viliwarushia gesi ya kutoa machozi waandamanaji wanaopinga mapinduzi
Africa Politics

Vikosi vya usalama vya Sudan viliwarushia gesi ya kutoa machozi waandamanaji wanaopinga mapinduzi

Maureen MedzaFebruary 8, 2022February 8, 2022

Sudan, ambayo tayari ilikuwa katika hali mbaya ya mzozo wa kiuchumi kabla ya mapinduzi, imeshuhudia misaada muhimu ya kigeni ikikatwa kama sehemu ya kulaani unyakuzi huo.

Vikosi vya usalama Sudan vyawaua waandamanaji saba katika maandamano ya kupinga mapinduzi
Africa Features Politics

Vikosi vya usalama Sudan vyawaua waandamanaji saba katika maandamano ya kupinga mapinduzi

Maureen MedzaJanuary 18, 2022January 18, 2022

Vifo hivyo saba vinafikisha 71 idadi ya waandamanaji waliouawa tangu jeshi lilipochukua madaraka Oktoba 25, likiongozwa na Jenerali Abdel Fattah al-Burhan.

Wanahabari wawili wa televisheni waachiliwa huru Sudan baada ya maandamano makubwa
Africa Features People Politics

Wanahabari wawili wa televisheni waachiliwa huru Sudan baada ya maandamano makubwa

Maureen MedzaDecember 31, 2021December 31, 2021

Vikosi vya usalama vya Sudan vimewaachia wanahabari wawili wa kituo cha televisheni.

Ujumbe wa ICC kuenda nchini Sudan Kujadili Kumhamisha Al Bashir
Africa International People Politics

Ujumbe wa ICC kuenda nchini Sudan Kujadili Kumhamisha Al Bashir

Maureen MedzaDecember 15, 2021December 15, 2021

Mwezi Agosti mwaka huu, Mwendesha Mashtaka Mkuu wa ICC, Karim Khan, alifanya ziara yake ya kwanza nchini Sudan

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo