Papa Francis Afariki Dunia Akiwa Na Miaka 88
Papa Francis alichaguliwa kuwa Baba Mtakatifu mnamo Machi 13, 2013. Uchaguzi wake ulikuwa wa kihistoria, kwani alikuwa Papa wa kwanza kutoka Amerika ya Kusini na wa kwanza kutoka Shirika la Yesu (Jesuit).
Papa Francis alichaguliwa kuwa Baba Mtakatifu mnamo Machi 13, 2013. Uchaguzi wake ulikuwa wa kihistoria, kwani alikuwa Papa wa kwanza kutoka Amerika ya Kusini na wa kwanza kutoka Shirika la Yesu (Jesuit).
Polisi wanasema watu wanane wamefariki tangu Jumatatu, baada ya maandamano na machafuko kuzuka kupinga kudorora kwa uchumi.
Maoni ya Papa Francis kuhusu kiwango cha unyanyasaji wa kingono dhidi ya watoto uliofanywa na kanisa nchini Ufaransa.