DR Congo: Mapigano yasababisha watu 37,000 kutoroka makazi yao
Kulingana na NGOs, takriban watu 26,000 wamekimbia eneo la Rutshuru tangu Mei 22. Watu wengine 11,000 wamekimbia eneo la Nyiragongo
Kulingana na NGOs, takriban watu 26,000 wamekimbia eneo la Rutshuru tangu Mei 22. Watu wengine 11,000 wamekimbia eneo la Nyiragongo
Wavamizi waliwauwa takriban watu 35 akiwemo mtoto mchanga katika shambulio kwenye mgodi wa dhahabu huko Ituri, DR Congo
Walienda huko kwa dhamira kutoka kwa Rais Felix Tshisekedi ili kujadili masharti ya kusitisha mapigano na kuwakomesha uharifu katika eneo hilo.
Kampuni ya kitaifa ya kuzalisha umeme, SNEL, ilisema katika taarifa kwa vyombo vya habari kwamba “radi ilikata nyaya za umeme.”
Joseph Kabila na familia yake wanatuhumiwa kunyakua $138 milioni za serikali.
Some of the victims were burned alive in their homes.