Rais wa Malawi amvua mamlaka naibu wake kwa kuhusika na ufisadi
Kwa mujibu wa katiba ya Malawi, Chakwera hawezi kumsimamisha au kumwondoa Chilima kwa sababu ni afisa aliyechaguliwa na raia
Kwa mujibu wa katiba ya Malawi, Chakwera hawezi kumsimamisha au kumwondoa Chilima kwa sababu ni afisa aliyechaguliwa na raia
President Lazarus Chakwera sacked his entire 33-member cabinet last Monday.
Orodha ya uteuzi wa mawaziri 12 iliyotolewa na ofisi yake inajumuisha mawaziri wawili wapya wengine wakiwa waliokuwa wamesimamishwa kazi
Baraza la mawaziri lilivunjwa baada ya mazungumzo ya simu ya mkuu wa kupambana na ufisadi kuvuja na kusambaa mitandaoni
The two have signed instruments of cooperation on Health, Tourism, Diplomatic Training, among others.