AU chairman calls for lifting of Zimbabwe sanctions
Senegalese President Macky Sall called for the lifting of sanctions against Zimbabwe in a speech to the 77th United Nations General Assembly in New York.
Senegalese President Macky Sall called for the lifting of sanctions against Zimbabwe in a speech to the 77th United Nations General Assembly in New York.
Mvutano umekuwa ukiongezeka katika nchi hiyo kabla ya upigaji kura wa wabunge wa Julai 31, unaoonekana kuwa uchaguzi muhimu kwa Rais Macky Sall.
Polisi wa Senegal waliziba njia ya kuelekea nyumbani kwake kiongozi wa upinzani Ousmane Sonko baada yake kuitisha maandamano siku ya Ijumaa, wakati nchi hiyo ikiwa katika mvutano wa kabla ya uchaguzi.
Kiungo huyo wa kimataifa wa Senegal alikosa mchezo wa Ligue 1 dhidi ya Montpellier Jumamosi ambapo wachezaji walipaswa kuvaa jezi za upinde wa mvua kuunga mkono harakati za LGBTQ.
Teranga Lions iliishinda Misri kwa mabao 4-2 katika mikwaju ya penalti katika fainali iliyochezwa Jumapili nchini Cameroon.
Ikiongozwa na nyota wa Liverpool, Sadio Mane, Senegal iliishinda Misri kwa mabao 4-2 katika mikwaju ya penalti