Nigeria: Ghadhabu ya raia baada ya kiongozi wa genge kuteuliwa kuwa chifu
Adamu Aliero Yankuzo, anayeshukiwa kuwa kiongozi wa genge, aliteuliwa kuwa chifu wa jamii ya Fulani (Sarkin Fulani) katika eneo la Yandoton Daji
Adamu Aliero Yankuzo, anayeshukiwa kuwa kiongozi wa genge, aliteuliwa kuwa chifu wa jamii ya Fulani (Sarkin Fulani) katika eneo la Yandoton Daji
Buhari was not in the convoy when gunmen ambushed the vehicles late Tuesday, injuring two people, but the attack underscored Nigeria’s precarious security situation.
Katika miezi ya hivi karibuni, wameshambulia treni ya abiria kati ya mji mkuu wa Abuja na mji wa Kaduna na kuwateka nyara makumi ya watu na kuua zaidi ya wanavijiji 100
Zaidi ya wajumbe 2,300 wa APC walipiga kura kumchagua mgombea atakayekabiliana na Atiku Abubakar wa chama cha upinzani cha Peoples Democratic Party (PDP) katika kura ya urais ya Februari 25 2023
The opposition People’s Democratic Party chose veteran Atiku Abubakar as its challenger for next year’s ballot.
Baadhi ya abiria walitekwa nyara na walionusurika walisema watu wenye silaha wamewanyakua abiria kadhaa, lakini haijabainika ni wangapi.
Nigeria ilisitisha shughuli za Twitter mwezi Juni baada ya Twitter kufuta ujumbe wa Rais Buhari
Nigeria Lifts Twitter Ban With Limits After Four-Month Sanction