Guinea-Bissau President Sissoco to Run as Independent Amid Political Crisis
Embalo announced his intention to run as an independent during the inauguration of his new prime minister, Braima Camara, on Friday.
Embalo announced his intention to run as an independent during the inauguration of his new prime minister, Braima Camara, on Friday.
Rais Umaro Sissoco Embalo alivunja bunge la Guinea-Bissau na kusema uchaguzi wa mapema wa bunge utafanyika mwaka huu ili kutatua mzozo wa kisiasa uliodumu kwa muda mrefu.
Guinea-Bissau ni taifa ambalo limetikiswa na machafuko ya mara kwa mara, ikiwa imekumbwa na mapinduzi manne ya kijeshi tangu uhuru kutoka kwa Ureno mwaka 1974