Mahakama Afrika Kusini Yafufua Mchakato Wa Kumuondoa Ramaphosa Madarakani
Mahakama ya Katiba ya Afrika Kusini imebatilisha kura ya Bunge la Taifa ya Desemba 13, 2022, iliyozuia kuanzishwa kwa mchakato wa kumwondoa madarakani Rais Cyril Ramaphosa kufuatia kashfa ya wizi wa fedha taslimu katika shamba lake.