• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Roch Marc Christian Kabore

Burkina Faso: Idadi ya vifo kutokana na shambulio la kijihadi yaongezeka hadi 79
Africa Features People Politics

Burkina Faso: Idadi ya vifo kutokana na shambulio la kijihadi yaongezeka hadi 79

Maureen MedzaJune 14, 2022June 14, 2022

Nchi hiyo imekuwa chini ya uasi wa wanajihadi kwa miaka saba ambao wamesababisha mauaji ya zaidi ya watu 2,000 na kuwalazimu takriban watu milioni 1.9 kuondoka makwao.

Waasi wawaua raia 50 nchini Burkina Faso
Africa Features Politics

Waasi wawaua raia 50 nchini Burkina Faso

Maureen MedzaMay 27, 2022May 27, 2022

Burkina Faso imetikiswa na uvamizi wa wanajihadi tangu 2015, huku vuguvugu hilo likihusishwa na Al-Qaeda na kundi la Islamic State.

Burkina Faso: Uamuzi wa kesi ya mauji ya Thomas Sankara kufanywa leo
Africa Features People Politics

Burkina Faso: Uamuzi wa kesi ya mauji ya Thomas Sankara kufanywa leo

Maureen MedzaApril 6, 2022April 6, 2022

Thomas Sankara alikuwa mkuu wa jeshi akiwa na umri wa miaka 33 tu alipoingia madarakani kwa mapinduzi mwaka wa 1983.

Kiongozi wa chama tawala cha zamani cha Burkina Faso akamatwa: mawakili
Africa Features People

Kiongozi wa chama tawala cha zamani cha Burkina Faso akamatwa: mawakili

Maureen MedzaMarch 28, 2022March 28, 2022

Kiongozi wa chama tawala cha zamani nchini Burkina Faso alikamatwa siku ya Jumapili baada ya kukosoa hali ambayo rais wa zamani Roch Marc Christian Kabore amewekwa na serikali tawala

Mchumi atajwa kama waziri mkuu mpya wa Burkina Faso
Africa Features People Politics

Mchumi atajwa kama waziri mkuu mpya wa Burkina Faso

Maureen MedzaMarch 4, 2022March 4, 2022

Ouedraogo mwenye umri wa miaka 53, ambaye uteuzi wake ulikuja kwa amri iliyotiwa saini na Rais Damiba, ameongoza kampuni ya ushauri na ukaguzi wa hesabu tangu 2007.

Mwanajeshi aliyeongoza mapinduzi Burkina Faso aapishwa
Africa Features People Politics

Mwanajeshi aliyeongoza mapinduzi Burkina Faso aapishwa

Maureen MedzaMarch 3, 2022March 3, 2022

Siku ya Jumanne, Damiba alitia saini kinachojulikana kama katiba ya mpito ambayo inasema uchaguzi utafanyika miezi 36 baada ya kuapishwa kwake.

Mwanajeshi aliyeongoza mapinduzi Burkina Faso aapishwa kuwa rais
Africa Features People Politics

Mwanajeshi aliyeongoza mapinduzi Burkina Faso aapishwa kuwa rais

Maureen MedzaFebruary 16, 2022February 16, 2022

Paul-Henri Sandaogo Damiba alitawazwa kuwa rais siku ya Jumatano, zaidi ya wiki tatu tu baada ya kuongoza mapinduzi ya kumuondoa madarakani Rais Roch Marc Christian Kabore.

Jeshi la Burkina Faso laondoa marufuku ya kutotoka nje
Africa Features People Politics

Jeshi la Burkina Faso laondoa marufuku ya kutotoka nje

Maureen MedzaFebruary 3, 2022February 3, 2022

Ghasia zilizotokana na mapinduzi zisababisha vifo vya zaidi ya watu 2,000 na kuwalazimu takriban milioni 1.5 kukimbia makazi yao.

Burkina Faso: Kesi ya mauaji ya Sankara kuendelea baada ya katiba kurejeshwa
Africa People Politics

Burkina Faso: Kesi ya mauaji ya Sankara kuendelea baada ya katiba kurejeshwa

Maureen MedzaFebruary 1, 2022February 1, 2022

Sankara na wenzake 12 waliuawa kwa kupigwa risasi na kikosi cha washambuliaji mnamo Oktoba 15, 1987,

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo