Burkina Faso: Idadi ya vifo kutokana na shambulio la kijihadi yaongezeka hadi 79
Nchi hiyo imekuwa chini ya uasi wa wanajihadi kwa miaka saba ambao wamesababisha mauaji ya zaidi ya watu 2,000 na kuwalazimu takriban watu milioni 1.9 kuondoka makwao.
Nchi hiyo imekuwa chini ya uasi wa wanajihadi kwa miaka saba ambao wamesababisha mauaji ya zaidi ya watu 2,000 na kuwalazimu takriban watu milioni 1.9 kuondoka makwao.
Burkina Faso imetikiswa na uvamizi wa wanajihadi tangu 2015, huku vuguvugu hilo likihusishwa na Al-Qaeda na kundi la Islamic State.
Thomas Sankara alikuwa mkuu wa jeshi akiwa na umri wa miaka 33 tu alipoingia madarakani kwa mapinduzi mwaka wa 1983.
Kiongozi wa chama tawala cha zamani nchini Burkina Faso alikamatwa siku ya Jumapili baada ya kukosoa hali ambayo rais wa zamani Roch Marc Christian Kabore amewekwa na serikali tawala
Ouedraogo mwenye umri wa miaka 53, ambaye uteuzi wake ulikuja kwa amri iliyotiwa saini na Rais Damiba, ameongoza kampuni ya ushauri na ukaguzi wa hesabu tangu 2007.
Siku ya Jumanne, Damiba alitia saini kinachojulikana kama katiba ya mpito ambayo inasema uchaguzi utafanyika miezi 36 baada ya kuapishwa kwake.
Paul-Henri Sandaogo Damiba alitawazwa kuwa rais siku ya Jumatano, zaidi ya wiki tatu tu baada ya kuongoza mapinduzi ya kumuondoa madarakani Rais Roch Marc Christian Kabore.
Ghasia zilizotokana na mapinduzi zisababisha vifo vya zaidi ya watu 2,000 na kuwalazimu takriban milioni 1.5 kukimbia makazi yao.
Sankara na wenzake 12 waliuawa kwa kupigwa risasi na kikosi cha washambuliaji mnamo Oktoba 15, 1987,