Somalia yamchagua Hassan Sheik Mohamud kama rais kwa mara ya pili
Mohamud, alikuwa rais kutoka 2012-2017, aliapishwa muda mfupi baada ya kura kuhesabiwa.
Mohamud, alikuwa rais kutoka 2012-2017, aliapishwa muda mfupi baada ya kura kuhesabiwa.
Uchaguzi huo umecheleweshwa kwa mwaka mmoja na umekumbwa na ghasia mbaya na mzozo wa kuwania madaraka kati ya Rais Mohamed Abdullahi Mohamed, na Waziri Mkuu Mohamed Hussein Roble.
Taifa hilo la Pembe ya Afrika limeshuhudia mashambulizi mengi katika wiki za hivi karibuni huku likipitia mchakato wa uchaguzi uliochelewa kwa muda mrefu.
Mashambulizi ya Jumapili, ambayo Al-Shabaab walidai kuhusika nayo, yalikuja wiki moja baada ya viongozi wa Somalia kukubaliana kumaliza uchaguzi wa bunge ifikapo Februari 25
Mgogoro huo wa uchaguzi umezua mzozo mkali wa madaraka kati ya Roble na Rais Mohamed Abdullahi Mohamed