Sudanese police fire tear gas to disperse protesters
The protesters are opposed to a military-dominated government.
The protesters are opposed to a military-dominated government.
Sudan imeachilia huru kundi jingine la wanaharakati, wanasiasa na viongozi wa mashirika ya kiraia, walioshikiliwa baada ya mapinduzi ya Oktoba 25
Baada ya wiki kadhaa za kifungo cha nyumbani, ambapo Sudan ilitikiswa na maandamano makubwa, alirejea rasmi serikalini chini ya makubaliano na Jenerali Abdel Fattah al-Burhan
A breakthrough deal has been signed to reverse the military takeover.
Waandamanaji wamejitokeza tangu mapinduzi yalipotekelezwa licha ya kukatika kwa intaneti na huduma za mawasiliano, jambo ambalo lililazimu wanaharakati kusambaza wito wa maandamano kupitia grafiti na jumbe za SMS.
Upinduzi wa serikali ya mpito umeondoa matumaini ya mabadiliko ya amani ya uongozi hata baada ya kuondolewa madarakani kwa aliyekuwa Rais Omar al-Bashir mwaka wa 2019.