Sudan: Vitoza machozi vyafyatuliwa kwenye maandamano ya kupinga mapinduzi
Wasudan waandamana kupinga unyakuzi wa kijeshi ulioongozwa na mkuu wa jeshi Abdel Fattah al-Burhan Oktoba mwaka jana.
Wasudan waandamana kupinga unyakuzi wa kijeshi ulioongozwa na mkuu wa jeshi Abdel Fattah al-Burhan Oktoba mwaka jana.
Sudan imekuwa ikikabiliwa na machafuko yanayozidi kuongezeka tangu Burhan aongoze mapinduzi mnamo Oktoba 25
Hundreds have been arrested in Sudan after rallies calling for civilian rule in the northeast African nation.
Takriban watu 85 wameuawa na mamia kujeruhiwa na vikosi vya usalama wakati wa miezi minne ya maandamano ya kudai utawala wa kiraia na haki
Sudan has been rocked by regular anti-coup protests that have been met by a crackdown that has killed at least 82 people according to an independent group of doctors.
The men are the latest in a long line of activists detained since the October 25 military takeover led by army chief Abdel Fattah al-Burhan.
Sudan, ambayo tayari ilikuwa katika hali mbaya ya mzozo wa kiuchumi kabla ya mapinduzi, imeshuhudia misaada muhimu ya kigeni ikikatwa kama sehemu ya kulaani unyakuzi huo.
Since Tuesday, many shops were closed and streets barricaded around Khartoum.
One of the slain demonstrators took a “live bullet to the head.
Vikosi vya usalama vya Sudan vimewaachia wanahabari wawili wa kituo cha televisheni.