• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Tanzania news

Serikali ya Tanzania yataja vipaumbele mpango wa maendeleo 2024/25
Africa East Africa

Serikali ya Tanzania yataja vipaumbele mpango wa maendeleo 2024/25

Asia GambaMarch 12, 2024March 12, 2024

Serikali imewasilisha mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo ya Taifa wa mwaka 2024/25. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo aliwasilisha mpango huo Dodoma jana katika kikao cha kamati ya bunge zima kilichoongozwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa.

CHADEMA wakaza mguu kwenye maandamano, wataja mkakati mpya wa maandamano0
Africa East Africa

CHADEMA wakaza mguu kwenye maandamano, wataja mkakati mpya wa maandamano0

Asia GambaMarch 7, 2024March 7, 2024

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) jana kilitangaza awamu nyingine ya maandamano yenye utofauti na awamu ya kwanza ya maandamano iliyomalizika hivi karibuni.

Wapandishwa kizimbani kwa kukutwa na sukari na mafuta ya magendo.
Africa East Africa

Wapandishwa kizimbani kwa kukutwa na sukari na mafuta ya magendo.

Asia GambaMarch 7, 2024March 7, 2024

Wakazi saba wa Jijini Dar es Salaam, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni mbele ya mahakimu watatu tofauti wakikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka manne yakiwamo ya kusafirisha sukari na mafuta ya kupikia kwa magendo vyote vikiwa na thamani ya shilingi milioni 10.7. 

Safu mpya ya uongozi wa ACT Wazalendo ilivyoweka kipaumbele cha uchaguzi ili kushika dola.
Africa East Africa

Safu mpya ya uongozi wa ACT Wazalendo ilivyoweka kipaumbele cha uchaguzi ili kushika dola.

Asia GambaMarch 7, 2024March 7, 2024

Wiki hii ilikuwa ni wiki ya hekaheka za vikao vya kamati kuu vya chama cha upinzani cha ACT Wazalendo, ambayo imeishia katika mkutano mkuu wa chama hicho ambao ulitambulisha safu ya viongozi wapya ikiwa ni sehehmu ya kupokezana kijiti kama ambavyo Katiba yao inawataka kufanya hivyo kila inapofika miaka mitano.

Mzee Mwinyi afariki dunia kwa saratani ya mapafu
Africa East Africa

Mzee Mwinyi afariki dunia kwa saratani ya mapafu

Asia GambaMarch 1, 2024March 1, 2024

Ali Hassan Mwinyi maarufu Mzee Rukhsa alikuwa rais wa awamu ya pili ncini Tanzania aliyehudumu madarakani kwa miaka 10 kutoka mwaka 1985 mpaka 1995.

Remembering the Legacies of Tanzania’s Three Departed Former Presidents
East Africa People Politics

Remembering the Legacies of Tanzania’s Three Departed Former Presidents

Joy CheptooMarch 1, 2024March 1, 2024

Tanzania has faced the somber reality of losing three of its distinguished leaders in recent years, Benjamin Mkapa in 2020, John Magufuli in 2021, and Ali Hassan Mwinyi in 2024

Lowassa jemedali wa siasa nchini Tanzania
Africa East Africa Politics

Lowassa jemedali wa siasa nchini Tanzania

Asia GambaFebruary 12, 2024February 12, 2024

Lowassa amefarikI Februari 10,2024 siku ya Jumamosi katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete iliyoko jijini Dar es salaam. 

Mswada wa Sheria ya uchaguzi Tanzania kizungumkuti
Africa East Africa

Mswada wa Sheria ya uchaguzi Tanzania kizungumkuti

Asia GambaJanuary 30, 2024January 30, 2024

Miswada hiyo ambayo imeibua mjadala pamoja na kupingwa na wadau mbalimbali ikiwamo vyama vya siasa, imetajwa kuwa na uzito wa kipekee kiasi cha kuongezewa muda wa wiki moja tofauti na utaratibu wa kawaida wa bunge kukaa wiki mbili.

Mbowe afanya mazungumzo na Balozi wa Marekani nchini Tanzania
Africa East Africa

Mbowe afanya mazungumzo na Balozi wa Marekani nchini Tanzania

Asia GambaJanuary 18, 2024January 18, 2024

Mbowe amekutana na Balozi Battle ikiwa zimebaki siku 6 kuelekea maandamano ya amani yanayotarajiwa kufanyika Januari 24,2024.

Chadema kuhitimisha maandamano ofisi za UN.
Africa East Africa

Chadema kuhitimisha maandamano ofisi za UN.

Asia GambaJanuary 17, 2024January 17, 2024

Chama Kikuu cha Upinzani nchini Tanzania, Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimesema tayari kimewasilisha barua kwa mamlaka za Polisi nchini humo juu ya kuzijulisha maandalizi yake ya kufanyika kwa Maandamano ya amani yatakayofanyika January 24 ambapo wameeleza kuwa maandamano hayo yatahitimishwa katika ofisi za Umoja wa Mataifa jijini Dar es Salaam.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy