• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Tanzania news

Madaktari Muhimbili wamtoa mtoto kipande cha plastiki kwenye mapafu alichoishi nacho miezi 23 
Africa East Africa

Madaktari Muhimbili wamtoa mtoto kipande cha plastiki kwenye mapafu alichoishi nacho miezi 23 

Asia GambaNovember 13, 2023November 13, 2023

Madaktari Bingwa wa Hospitali ya Taifa Muhimbili wamefanikiwa kutoa kipande cha plastiki kwenye pafu la kushoto la mtoto mwenye umri wa miaka 11, kupitia kifaa maalumu kinachoitwa Flexible Bronchoscopy.

ACT Wazalendo kuchambua miswada ya uchaguzi iliyosomwa bungeni
Africa East Africa

ACT Wazalendo kuchambua miswada ya uchaguzi iliyosomwa bungeni

Asia GambaNovember 13, 2023November 13, 2023

Chama cha ACT Wazalendo kimeielekeza Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Chama hicho kuichambua Miswada ya Sheria kuhusu Uchaguzi, Tume ya Uchaguzi na Vyama vya Siasa iliyosomwa kwa mara ya kwanza Bungeni tarehe 10 Novemba 2023.

Kesi ya Polisi wanaodaiwa kufanya unyang’anyi wa kutumia silaha yapigwa kalenda, upepelezi ukiwa bado haujakamilika
Africa East Africa

Kesi ya Polisi wanaodaiwa kufanya unyang’anyi wa kutumia silaha yapigwa kalenda, upepelezi ukiwa bado haujakamilika

Asia GambaNovember 13, 2023November 13, 2023

Washtakiwa hao ni waliokuwa askari kanzu watatu mwenye namba  F 7149 D/Coplo Ramadhani Tarimo (42) maarufu kama Rasta na mkazi wa Kipawa; G 7513 D/Coplo Majid Abdallah(35) na mkazi wa Kunduchi na WP  6582 D/ Coplo Stella Mashaka ( 41) mkazi wa Railway.

Magonjwa yasiyoambukiza changamoto Afrika.
Africa East Africa

Magonjwa yasiyoambukiza changamoto Afrika.

Asia GambaNovember 13, 2023November 14, 2023

Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Msaidizi Magonjwa yasioambukiza Wizara ya Afya Dkt. Omary Ubuguyu katika uzinduzi wa madhimisho ya wiki ya magonjwa yasioambukiza iliyoandaliwa na Wizara ya Afya, Ofisi ya (TAMISEMI) uongozi wa Mkoa wa Dar es salaam pamoja na wadau wa huduma za magonjwa yasioambukiza.

Klabu ya Simba yamtimua Robertinho
Africa East Africa Sports

Klabu ya Simba yamtimua Robertinho

Asia GambaNovember 7, 2023November 7, 2023

Klabu ya Simba SC imeachana na kocha wao Robert Oliveira ‘Robertinho’ baada ya makubaliano ya pande zote mbili kwa maana ya klabu na mhusika. 

Mimba za Utotoni zinavyowatesa watoto kukwama kielimu Songwe
Africa East Africa

Mimba za Utotoni zinavyowatesa watoto kukwama kielimu Songwe

Asia GambaNovember 3, 2023November 25, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Songwe Dkt. Francis Michael, ametoa muda wa siku tatu kwa Afisa elimu Mkoa wa Songwe kwa kushirikiana na taasisi nyingine ikiwemo Jeshi la Polisi kuwasaka watu wote waliohusika kuwakatisha masomo wanafunzi wa shule za Msingi na Sekondari na kueleza hatua zilizochukuliwa kisha apewe taarifa.

Wakuu wa nchi za SADC kukutana kwa dharula kujadili hali ya amani na ulinzi wa nchini DRC
Africa East Africa

Wakuu wa nchi za SADC kukutana kwa dharula kujadili hali ya amani na ulinzi wa nchini DRC

Asia GambaNovember 3, 2023November 3, 2023

Mkutano huo unalenga kujadili juhudi za SADC katika kuimarisha hali ya amani, ulinzi na usalama Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) kufuatia mapigano ya muda mrefu yanayoendelea nchini humo yakitekelezwa na vikundi vyenye silaha katika majimbo ya Kivu Kusini, Kivu Kaskazini na Ituri.   

UTAFITI: Dar kinara kwa kiwango cha mimba kuharibika
Africa East Africa

UTAFITI: Dar kinara kwa kiwango cha mimba kuharibika

Asia GambaNovember 2, 2023November 2, 2023

Huo ni utafiti wa saba katika mfululizo wa utafiti wa kitaifa wa kidemografia na afya uliowahi kufanyika Tanzania mwaka 1991/92 ambapo kwa mujibu wa matokeo ya utafiti huo, taarifa za ujauzito kwa wanawake wenye umri wa miaka 15 hadi 49 kwa kipindi cha miaka mitatu kabla ya utafiti huo, zimeonesha asilimia 90 walizaa watoto hai na asilimia 10 walipoteza ujauzito. 

Makonda aanza kazi kwa vijembe, awapa salamu vyama vya upinzani.
Africa East Africa

Makonda aanza kazi kwa vijembe, awapa salamu vyama vya upinzani.

Asia GambaOctober 26, 2023October 26, 2023

Makonda amewasili akiwa kwenye bodaboda kwa kile kilichodaiwa kuwa alishindwa kufika na gari lake kutokana na msongamano wa magari na umati wa watu uliojitokeza kwenye eneo la ofisi hiyo

Mwabukusi akosoa mkataba wa HGA, adai Serikali imewadanganya Wananchi, asisitiza maandamano
Africa East Africa

Mwabukusi akosoa mkataba wa HGA, adai Serikali imewadanganya Wananchi, asisitiza maandamano

Asia GambaOctober 24, 2023October 24, 2023

Mwabukusi ameeleza masikitiko yake kwa Serikali kusaini mkataba na DPW ya Dubai katika uendelezaji wa bandari ya Dar es Salaam akidai kuwa bado mapungufu hayajaondolewa na hata kipindi cha miaka 30 ya mkataba huo ni kirefu ikilinganishwa na raslimali inayoenda kuwekezwa.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo