• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Tanzania news

Lissu ni ama afikishwe Mahakamani kesho ama aanze mgomo wa kula akiwa gerezani
Crime & Justice Politics Tanzania

Lissu ni ama afikishwe Mahakamani kesho ama aanze mgomo wa kula akiwa gerezani

Asia GambaMay 5, 2025

Lissu ambaye ni Mwenyekiti wa Chadema Taifa alikamatwa tarehe 9 Aprili 2025 majira ya saa za jioni akiwa Ruvuma muda mchache mara baada ya kumaliza mkutano wa hadhara uliofanyika wilayani Mbinga.Usiku huo huo alisafirishwa hadi Dar es Salaam chini ya ulinzi mkali wa maofisa wa polisi na kufikishwa katika kituo cha kati cha Polisi.

Uganda yakamata mtuhumiwa mkuu wa Utekaji wa Mtalii wa Marekani Mwaka 2019
Africa East Africa Uganda Uncategorized

Uganda yakamata mtuhumiwa mkuu wa Utekaji wa Mtalii wa Marekani Mwaka 2019

Asia GambaMay 5, 2025

Kimberly Sue Endicott, raia wa Marekani, pamoja na dereva wake raia wa Uganda walitekwa nyara tarehe 2 Aprili, 2019 na watu wenye silaha waliodai fidia ya dola 500,000 za Kimarekani.

Lissu alaani shambulio dhidi ya Padre Kitima na Mdude akiwa gerezani
East Africa Politics Rights & Freedoms Social Issues Tanzania

Lissu alaani shambulio dhidi ya Padre Kitima na Mdude akiwa gerezani

Asia GambaMay 3, 2025

Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Tundu Antiphas Lissu Mwenyekiti wa Chadema na mwanasiasa maarufu wa upinzani, Tundu Antiphas Mughwai Lissu,  akiwa…

Wafuasi wa Chadema Mwanza wapigwa marufuku kufanya mikusanyiko kesho Lissu akifikishwa mahakamani
Crime & Justice East Africa Politics Tanzania

Wafuasi wa Chadema Mwanza wapigwa marufuku kufanya mikusanyiko kesho Lissu akifikishwa mahakamani

Asia GambaApril 23, 2025

Jeshi la Polisi mkoa wa Mwanza limetoa tahadhari kwa wananchi na wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wanaopanga kufanya mikusanyiko na maandamano ya kuishinikiza Serikali kuachiwa huru Mwenyekiti wa chama hicho Taifa ambaye kesho Aprili 24,2025 atafikishwa mahakamani.

Majaliwa atoa maagizo kwa TANROADS kuhusu ukarabati wa madaraja
Development East Africa Tanzania

Majaliwa atoa maagizo kwa TANROADS kuhusu ukarabati wa madaraja

Asia GambaApril 16, 2025

Ametoa agizo hilo leo Jumatano (Aprili 16, 2025) alipokagua maendeleo ya ukarabati wa madaraja katika maeneo ya Matandu na Somanga Mtama, Wilaya Kilwa Mkoani Lindi kwenye barabara kuu ya Dar es Salaam – Lindi yaliyokuwa yamekatika kufuatia mvua zinazonyesha nchini.

Amnesty International yaitaka Tanzania kumwachilia huru kiongozi wa upinzani Tundu Lissu
East Africa Politics Tanzania

Amnesty International yaitaka Tanzania kumwachilia huru kiongozi wa upinzani Tundu Lissu

Asia GambaApril 12, 2025

Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu, Amnesty International, limeitaka serikali ya Tanzania kumwachilia mara moja na bila masharti yoyote kiongozi wa chama cha upinzani Chadema, Tundu Lissu, aliyekamatwa na kufunguliwa mashtaka ya uhaini.

Lissu afikishwa Mahakamani kwa Kesi ya Uhaini, Mikutano ya CHADEMA yasitishwa
East Africa Politics Tanzania

Lissu afikishwa Mahakamani kwa Kesi ya Uhaini, Mikutano ya CHADEMA yasitishwa

Asia GambaApril 10, 2025

Lissu alikamatwa Aprili 9, 2025, wilayani Mbinga mkoani Ruvuma muda mfupi baada ya kuhutubia mkutano wa hadhara. Usiku huo huo alisafirishwa kwa magari hadi Dar es Salaam na kufikishwa katika Kituo Kikuu cha Polisi (Central), kabla ya kupelekwa mahakamani leo asubuhi.

Asilimia 34.3 ya Vijana Wanapata VVU kila Mwaka
East Africa People Tanzania

Asilimia 34.3 ya Vijana Wanapata VVU kila Mwaka

Asia GambaApril 9, 2025April 12, 2025

Haya yameelezwa leo Aprili 9,2025, bungeni jijini Dodoma na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wakati akiwasilisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Ofisi ya Waziri Mkuu kwa mwaka wa fedha 2025/2026, ambapo ameeleza kuwa takwimu zilizopo watu 1,690,948 wanaishi na virusi vya UKIMWI (WAVIU).

Chama cha kuwatetea Walimu chaja na mapya, walimu wanadai zaidi ya billion 12
East Africa Education Tanzania

Chama cha kuwatetea Walimu chaja na mapya, walimu wanadai zaidi ya billion 12

Asia GambaApril 8, 2025

Chama cha kutetea haki na maslahi ya walimu Tanzania (CHAKAMWATA), kimetangaza kutua mahakamani kuzishtaki Halmashauri mbalimbali nchini kwa madai ya kushindwa kulipa stahiki za watumishi wa kada ya ualimu kwa kushirikiana na Chama Cha walimu CWT kwa madai ya zaidi ya shilingi billion 12.

ACT Wazalendo yaja na hoja sita kabla ya Uchaguzi Mkuu
East Africa Politics Tanzania

ACT Wazalendo yaja na hoja sita kabla ya Uchaguzi Mkuu

Asia GambaApril 7, 2025

Hoja hizo ni sehemu ya mkakati wa kuhakikisha kunakuwa na uchaguzi huru na haki wakati huu ambapo Tanzania inajiandaa kwa uchaguzi utakaofanyika Oktoba 2025

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy