• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Tanzania

Bajeti ya Tanzania kupigiwa kura leo
Business / Finance East Africa Tanzania

Bajeti ya Tanzania kupigiwa kura leo

Asia GambaJune 26, 2024August 5, 2024

Wabunge wanapata fursa ya kupiga kura baada ya siku saba za majadiliano tangu bajeti hiyo ilipowasilishwa bungeni jijini Dodoma Juni 13 mwaka huu, ikiwa ni bajeti ya nne.

Hichi ndicho kilichomponza Luhaga Mpina hadi kufikishwa mbele ya Kamati ya Maadili.
East Africa Politics Tanzania

Hichi ndicho kilichomponza Luhaga Mpina hadi kufikishwa mbele ya Kamati ya Maadili.

Asia GambaJune 19, 2024July 3, 2024

Jana Juni 18, 2024 Spika wa Bunge Dk Tulia Ackson, alilitangazia bunge na kutoa amri chini ya mamlaka aliyonayo ya kumfikisha mbele ya Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kutokana na kwamba amelidharau bunge na mamlaka ya Spika.

Tanzania yafanya uzinduzi wa ujenzi wa mejengo pacha ya ghorofa 22 nchini Kenya
Business / Finance East Africa Tanzania

Tanzania yafanya uzinduzi wa ujenzi wa mejengo pacha ya ghorofa 22 nchini Kenya

Asia GambaJune 18, 2024July 4, 2024

Serikali imezindua ujenzi wa majengo pacha ya ghorofa 22 kila moja jijini Nairobi, Kenya, yatakayotumika kama Ofisi ya Ubalozi wa Tanzania nchini humo na kitega uchumi kwa ajili ya kuongeza fedha za kigeni.

Ubalozi wa Tanzania nchini Korea wakana taarifa ya Tanzania kusaini mkataba unaouza bahari na madini yake.
Business / Finance East Africa

Ubalozi wa Tanzania nchini Korea wakana taarifa ya Tanzania kusaini mkataba unaouza bahari na madini yake.

Asia GambaJune 4, 2024July 4, 2024

Ubalozi wa Tanzania nchini Korea Kusini umesema Tanzania haijasaini mkataba wowote na Jamhuri ya Korea unaohusu Bahari wala Madini katika ziara ya Rais Samia Suluhu Hassan inayoendelea nchini humo.

El Nino not responsible for East Africa floods: scientists
Climate change East Africa

El Nino not responsible for East Africa floods: scientists

Mwanzo EditorMay 24, 2024July 3, 2024

Torrential rainfall in Kenya, Tanzania and neighbouring nations killed more than 500 people

Kenyan football, athletics, disrupted by stadium closures
East Africa Football Sports

Kenyan football, athletics, disrupted by stadium closures

Mwanzo EditorMay 15, 2024July 5, 2024

Kenya’s sports ministry had said in April it would be closing Nairobi’s two main stadiums and another in Eldoret for renovations to prepare for the 2027 AFCON which Kenya will host jointly with Tanzania and Uganda.

Ni nini Kilichosababisha Mtandao Kukatika Afrika Mashariki?
Africa East Africa Science & Tech

Ni nini Kilichosababisha Mtandao Kukatika Afrika Mashariki?

Asia GambaMay 15, 2024July 3, 2024

Kukatika kwa mtandao kwa sasa katika Afrika Mashariki kunahusisha kukatwa mara tatu kwa nyaya za chini ya bahari na hitilafu katika mfumo mwingine. Ben Roberts wa Liquid Telecom aliripoti masuala na Mfumo wa Kebo wa Manowari wa Afrika Mashariki (EASSy) na nyaya za Seacom.

Samia:Afrika ni bara la chini kuwa na upatikanaji wa nishati safi ya kupikia
Africa East Africa Energy & Mining

Samia:Afrika ni bara la chini kuwa na upatikanaji wa nishati safi ya kupikia

Asia GambaMay 14, 2024July 3, 2024

Samia amesema yapo mambo kadhaa yanochangia Waafrika hao kuendelea kutumia nishati isiyo safi ikiwemo gharama kubwa hususani kwa watu waishio vijijini, pia ulimwengu kwa ujumla kutoweka kipaumbele kwenye suala hilo kwa kutoa ufadhili mdogo na watu kutojua fursa za kiuchumi zitokanazo na matumizi ya nishati safi ya kupikia.

Tanzania inaendelea kutaabika kupata huduma ya Internet
East Africa Science & Tech Tanzania

Tanzania inaendelea kutaabika kupata huduma ya Internet

Asia GambaMay 14, 2024July 3, 2024

Mpaka hivi leo bado huduma ya mtandao maarufu kwa kimombo Internet haiko sawasawa na Serikali ya Tanzania kupitia Msemaji wake imesema bado haijajua ni lini huduma hiyo itarejea kwa uhakika.

What Really Caused Internet Outage in East Africa?
Africa East Africa Science & Tech

What Really Caused Internet Outage in East Africa?

Joy CheptooMay 14, 2024July 3, 2024

There are over 570 undersea cables globally, with submarine cables providing 90% of Africa’s internet needs.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy