Sudan becomes battleground for foreign fighters
For the past month, Sudan has been rocked by deadly battles between de facto leader Burhan and his former deputy, RSF commander Mohamed Hamdan Daglo, also known as Hemeti.
For the past month, Sudan has been rocked by deadly battles between de facto leader Burhan and his former deputy, RSF commander Mohamed Hamdan Daglo, also known as Hemeti.
Taarifa hiyo ya daktari inakuja kipindi ambacho kumekuwepo na taarifa za uvumi katika mitandao ya kijamii kuhusu chanzo cha kifo chake.
Mwili wa aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Benard Membe unatarajiwa kuhifadhiwa kwenye nyumba yake ya milele Mei 16, mwaka huu katika kijiji cha Londo mkoani Lindi.
Taarifa iliyotolewa leo Mei 9, 2023 na msemaji wa jeshi hilo, David Misime imeeleza kuwa sherehe za kumuaga Siro zitafanyika katika Chuo cha Taaluma ya Polisi Dar es Salaam (DPA) kilichopo Kurasini jijini Dar es Salaam Mei 10, 2023 kuanzia saa 1 asubuhi.
Makamu Mwenyekiti wa Chadema (Bara), Tundu Lissu leo kwa mara ya kwanza amefanikiwa kuliona gari lake ambalo alishambuliwa nalo kwa risasi jijini Dodoma na watu wasiojulikana.
Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu wa Baraza la Habari Tanzania (MCT) Kajubi Mukajanga katika kongamano la miaka 30 ya siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yenye kauli mbiu ‘Uhuru wa Kujieleza kama Kichocheo cha Haki Nyingine za Binadamu’ kitaifa maadhimisho hayo yanafanyika visiwani Zanzibar.
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amewataka akina mama wajawazito wanaofika kwenye Kliniki za Uzazi, Mama na Mtoto kupimwa wingi wa damu, mkojo kuangalia wingi wa protini, shinikizo la damu pamoja na kusikiliza mapigo ya moyo ya mtoto bila kutozwa gharama zozote.
Maswali yameibuka kuhusu jinsi mchungaji huyo mwenye historia ya itikadi kali ameweza kukwepa utekelezaji wa sheria licha ya wasifu wake maarufu
Serikali ya Kenya mwezi Disemba iliidhinisha pendekezo la baraza la mawaziri kuunga mkono ombi la mashindano hayo yanayofanyika kila baada ya miaka miwili, pamoja na majirani zake wawili
Taarifa iliyotolewa leo na Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa Chadema, John Mrema imeeleza kuwa akiwa Afrika ya Kusini, Mbowe kama Mwenyekiti Mwenza wa Umoja wa Vyama vya Demokrasia Afrika (DUA) ataongoza kongamano la kwanza la umoja huo litakalodumu kwa siku nne.