• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Tanzania

Sudan becomes battleground for foreign fighters
Africa Politics

Sudan becomes battleground for foreign fighters

Mwanzo EditorMay 14, 2023July 2, 2024

For the past month, Sudan has been rocked by deadly battles between de facto leader Burhan and his former deputy, RSF commander Mohamed Hamdan Daglo, also known as Hemeti.

Prof: Nyagori: Membe amefariki kwa maradhi ya kawaida.
Africa East Africa

Prof: Nyagori: Membe amefariki kwa maradhi ya kawaida.

Asia GambaMay 12, 2023May 12, 2023

Taarifa hiyo ya daktari inakuja kipindi ambacho kumekuwepo na taarifa za uvumi  katika mitandao ya kijamii kuhusu chanzo cha kifo chake.

Mwili wa Membe kuzikwa Mei 16
Africa East Africa

Mwili wa Membe kuzikwa Mei 16

Asia GambaMay 12, 2023May 12, 2023

Mwili wa aliyekuwa Waziri wa  Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Benard Membe unatarajiwa kuhifadhiwa kwenye nyumba yake ya milele Mei 16, mwaka huu katika kijiji cha Londo mkoani Lindi.

Hafla maalum kumuaga IGP Sirro kesho
Africa East Africa

Hafla maalum kumuaga IGP Sirro kesho

Asia GambaMay 9, 2023May 9, 2023

Taarifa iliyotolewa leo Mei 9, 2023 na msemaji wa jeshi hilo, David Misime imeeleza kuwa sherehe za kumuaga Siro zitafanyika katika Chuo cha Taaluma ya Polisi Dar es Salaam (DPA) kilichopo Kurasini jijini Dar es Salaam Mei 10, 2023 kuanzia saa 1 asubuhi.

Lissu afanikiwa kuliona gari aliloshambuliwa nalo kwa risasi ikiwa ni zaidi ya miaka mitano
Africa East Africa

Lissu afanikiwa kuliona gari aliloshambuliwa nalo kwa risasi ikiwa ni zaidi ya miaka mitano

Asia GambaMay 9, 2023May 9, 2023

Makamu Mwenyekiti wa Chadema (Bara), Tundu Lissu leo kwa mara ya kwanza amefanikiwa kuliona gari lake ambalo alishambuliwa nalo kwa risasi jijini Dodoma na watu wasiojulikana.

Waandishi wa habari 272 walipata madhila katika kipindi cha miaka 10 nchini Tanzania
Africa East Africa

Waandishi wa habari 272 walipata madhila katika kipindi cha miaka 10 nchini Tanzania

Asia GambaMay 2, 2023May 2, 2023

Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu wa Baraza la Habari Tanzania (MCT) Kajubi Mukajanga katika kongamano la miaka 30 ya siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yenye kauli mbiu ‘Uhuru wa Kujieleza kama Kichocheo cha Haki Nyingine za Binadamu’ kitaifa maadhimisho hayo yanafanyika visiwani Zanzibar.

Wajawazito kupimwa vipimo vya awali bila malipo 
Africa East Africa

Wajawazito kupimwa vipimo vya awali bila malipo 

Asia GambaMay 2, 2023May 2, 2023

Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amewataka akina mama wajawazito wanaofika kwenye Kliniki za Uzazi, Mama na Mtoto kupimwa wingi wa damu, mkojo kuangalia wingi wa protini, shinikizo la damu pamoja na kusikiliza mapigo ya moyo ya mtoto bila kutozwa gharama zozote. 

Wachungaji wawili wa Kenya wamefikishwa mahakamani kuhusiana na mauaji ya kidini
Africa East Africa People

Wachungaji wawili wa Kenya wamefikishwa mahakamani kuhusiana na mauaji ya kidini

Joy CheptooMay 2, 2023May 2, 2023

Maswali yameibuka kuhusu jinsi mchungaji huyo mwenye historia ya itikadi kali ameweza kukwepa utekelezaji wa sheria licha ya wasifu wake maarufu

Kenya, Tanzania na Uganda zimezindua zabuni ya pamoja kwa ajili ya AFCON 2027
Africa East Africa Football Sports

Kenya, Tanzania na Uganda zimezindua zabuni ya pamoja kwa ajili ya AFCON 2027

Joy CheptooApril 27, 2023April 27, 2023

Serikali ya Kenya mwezi Disemba iliidhinisha pendekezo la baraza la mawaziri kuunga mkono ombi la mashindano hayo yanayofanyika kila baada ya miaka miwili, pamoja na majirani zake wawili

Mbowe kuongoza kongamano la DUA Afrika Kusini
Africa East Africa

Mbowe kuongoza kongamano la DUA Afrika Kusini

Asia GambaApril 25, 2023April 25, 2023

Taarifa iliyotolewa leo na Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa Chadema, John Mrema imeeleza kuwa akiwa Afrika ya Kusini, Mbowe kama Mwenyekiti Mwenza wa Umoja wa Vyama vya Demokrasia Afrika (DUA) ataongoza kongamano la kwanza la umoja huo litakalodumu kwa siku nne.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo