• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Tanzania

Mbowe kuongoza kongamano la DUA Afrika Kusini
Africa East Africa

Mbowe kuongoza kongamano la DUA Afrika Kusini

Asia GambaApril 25, 2023April 25, 2023

Taarifa iliyotolewa leo na Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa Chadema, John Mrema imeeleza kuwa akiwa Afrika ya Kusini, Mbowe kama Mwenyekiti Mwenza wa Umoja wa Vyama vya Demokrasia Afrika (DUA) ataongoza kongamano la kwanza la umoja huo litakalodumu kwa siku nne.

Tanzania yawasafirisha raia wake waishio nchini Sudan
Africa East Africa

Tanzania yawasafirisha raia wake waishio nchini Sudan

Asia GambaApril 25, 2023April 25, 2023

Watanzania hao wamesafirishwa kwa njia ya basi kuelekea Ethiopia ambako watapanda ndege ya Air Tanzania kwa safari ya kurejea nchini.

Bunge lapitisha bajeti ya shilingi bilioni 54 ya Ofisi ya Makamu wa Rais
Africa East Africa

Bunge lapitisha bajeti ya shilingi bilioni 54 ya Ofisi ya Makamu wa Rais

Asia GambaApril 24, 2023April 24, 2023

Katika bajeti hiyo, shilingi Bilioni 14.7 ni ya Makamu wa Rais ambapo ni matumizi ya kawaida, shilingi Bilioni 1.2 kwa ajili ya mishahara na shilingi Bilioni 13.4 ni kwa ajili ya matumizi mengine.

Mbunge wa CCM aishauri Serikali kuongeza bei ya mafuta Dar
Africa East Africa

Mbunge wa CCM aishauri Serikali kuongeza bei ya mafuta Dar

Asia GambaApril 18, 2023April 18, 2023

Mbunge wa jimbo la Ukonga mkoani Dar es Salaam, Jerry Silaa ameishauri Serikali iweke tozo ya shilingi 100 kwenye kila lita ya mafuta yanayonunuliwa mkoani Dar es Salaam, ili kupata pesa za kujenga barabara za mkoa huo.

‘Mbakaji wa Facebook’ Thabo Bester afikishwa katika mahakama ya Afrika Kusini
Africa People

‘Mbakaji wa Facebook’ Thabo Bester afikishwa katika mahakama ya Afrika Kusini

Joy CheptooApril 14, 2023April 14, 2023

Bester na wenzake walikamatwa nchini Tanzania wakiwa na hati kadhaa za kusafiria.

Serikali kuweka mfumo mpya mikopo ya asilimia 10
Africa East Africa

Serikali kuweka mfumo mpya mikopo ya asilimia 10

Asia GambaApril 14, 2023April 14, 2023

Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa amezielekeza Halmashauri zote nchini humo kusitisha utoaji wa fedha za mikopo kwa makundi maalum ya vijana, wanawake na wenye ulemavu kuanzia Aprili hadi Juni, 2023 wakati Serikali inajipanga kuweka mfumo mpya wa utoaji wa mikopo hiyo.

Shocking prison break fugitive Thabo Bester returned to S. Africa
Africa People

Shocking prison break fugitive Thabo Bester returned to S. Africa

Mwanzo EditorApril 13, 2023April 13, 2023

Bester had been arrested by Tanzanian authorities on Friday night along with a woman, a Mozambican national with whom he is reportedly romantically involved

LATRA yataka madereva wa “school bus” wasajiliwe kudhibiti ukatili wa kijinsia
Africa East Africa

LATRA yataka madereva wa “school bus” wasajiliwe kudhibiti ukatili wa kijinsia

Asia GambaApril 12, 2023April 12, 2023

Hatua hiyo imekuja baada ya kuwepo kwa matukio ya kuwafanyia vitendo vya ukatili na ukiukwaji wa maadili na udhalilishaji kwa wanafunzi unaofanywa kwenye mabasi ya shule.

Waliofutiwa matokeo kidato cha nne kurudia mtihani mwezi Mei
Africa East Africa

Waliofutiwa matokeo kidato cha nne kurudia mtihani mwezi Mei

Asia GambaApril 12, 2023April 12, 2023

Waziri wa Elimu, Profesa Adolf Mkenda amesema kuwa ruhusa hiyo ni kwa wanafunzi wote waliofutiwa matokeo wakiwemo wanafunzi wanne waliofutiwa kwa kuandika matusi. 

Bei ya mafuta ya petroli, dizeli na mafuta ya taa yapungua nchini Tanzania
Africa East Africa

Bei ya mafuta ya petroli, dizeli na mafuta ya taa yapungua nchini Tanzania

Asia GambaApril 5, 2023April 5, 2023

Taarifa ya Mkurugenzi Mkuu wa Ewura, Dk James Mwainyekule imeeleza kuwa bei za rejareja za mafuta ya petroli, dizeli na mafuta ya taa yaliyopokelewa kupitia Bandari ya Dar es Salaam zimepungua kwa shilingi 187 kwa lita, shilingi 284 kwa lita na shilingi 169 kwa lita mtawalia, ikilinganishwa na toleo la Machi Mosi mwaka huu.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo