Ajali yaua watu watatu Tanga
Watu watatu wamefariki usiku wa kuamkia leo Ijumaa Januari 6,2023, baada ya lori lililokuwa limebeba gesi kugongana uso kwa uso na lori aina ya Fuso.
Watu watatu wamefariki usiku wa kuamkia leo Ijumaa Januari 6,2023, baada ya lori lililokuwa limebeba gesi kugongana uso kwa uso na lori aina ya Fuso.
Taarifa iliyotolewa leo Januari 6, 2023 na chama hicho na kusainiwa na Mkurugenzi wa Mawasiliano, Itifaki na Mambo ya Nje, John Mrema imesema maazimio hayo yanatokana na Kamati kuu iliyoketi Januari 5, mwaka huu.
BoT imesema matukio mengi ya taarifa hizo yanahusisha kiasi kikubwa cha pesa kinachodaiwa kuletwa kwa ajili ya ufadhili wa mradi au matumizi binafsi.
Mwili wa marehemu uligunduliwa baada ya wahudumu wa bodaboda, kushuhudia gari likitupa sanduku kuukuu la chuma kando ya njia.
Msajili wa Bodi ya Nyama nchini Tanzania (TMB), Dk Daniel Mushi amesema mauzo ya nyama nje ya nchi hiyo kwa kipindi cha Julai hadi Desemba 15 mwaka jana yalifikia tani 5,158.93, sawa na ongezeko la asilimia 21.7 ikilinganishwa na tani 4,239.42 zilizouzwa kipindi kama hicho mwaka 2021 huku nchi ya Qatar ikiongoza kwa kununua tani 504.
TikTok is the equivalent of “digital fentanyl,”, one of the leading voices in Congress against China, comparing the app to the deadly opioid.
Hassan has been under pressure to break with the hardline policies of John Magufuli, who died in 2021 after six years of heavy-handed rule in a country once seen as a democratic beacon in East Africa
Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu (Latra) imepanga kufunga mita za kielektroniki kwa teksi ambazo zingewawezesha wateja kulipa nauli kulingana na kilomita walizosafiri
Balozi wa Tanzania nchini Austria, Celestine Mushy amefariki dunia katika ajali iliyotokea eneo la Mkata wilayani Handeni mkoa wa Tanga.
The families of two miners allegedly killed at a Tanzanian gold mine in 2019 on Wednesday launched a legal claim against the London Bullion Market Authority for certifying its gold