KUMBUKUMBU:Miaka miwili tangu kutokea kwa kifo cha Maalim Seif, gwiji wa siasa za Tanzania
Maalim Seif amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 76, huku akiwa ametumikia nyadhfa mbalimbali Serikalini lakini hadi umauti unamfika alikuwa makamu wa kwanza wa rais wa SMZ kwa chini ya siku 100, akiwa sehemu ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa iliyoundwa baada ya Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar wa mwaka 2020.