• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Tanzania

Mwanafunzi wa darasa la sita ajinyonga baada ya kufokewa na wazazi wake
Africa East Africa

Mwanafunzi wa darasa la sita ajinyonga baada ya kufokewa na wazazi wake

Asia GambaMarch 2, 2023March 2, 2023

Kamanda wa Polisi mkoani Mbeya, Benjamin Kuzaga  amewaambia waandishi wa habari leo kuwa mwanafunzi huyo alifikia hatua ya kujitoa uhai baada ya kufokewa na wazazi wake.

Rais Samia:Nafahamu madhara ya kubadilisha viongozi mara kwa mara.
Africa East Africa

Rais Samia:Nafahamu madhara ya kubadilisha viongozi mara kwa mara.

Asia GambaMarch 2, 2023March 2, 2023

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, mara nyingi hulazimika kuwabadili viongozi mara kwa mara ili kuepusha madhara zaidi kwa Serikali na wananchi ambayo yangeweza kutokea.

Godbless Lema wa Chadema arejea nyumbani baada ya kukaa uhamishoni kwa miaka mingi
East Africa People Politics

Godbless Lema wa Chadema arejea nyumbani baada ya kukaa uhamishoni kwa miaka mingi

Joy CheptooMarch 2, 2023March 2, 2023

Lema alikimbia Tanzania Novemba 2020, akiripoti vitisho vya maisha yake kufuatia uchaguzi uliokuwa na utata

Tanzania na Benki ya Dunia yasaini mkataba wa mikopo nafuu na misaada ya shilingi trilioni 1.3
Africa East Africa

Tanzania na Benki ya Dunia yasaini mkataba wa mikopo nafuu na misaada ya shilingi trilioni 1.3

Asia GambaFebruary 28, 2023February 28, 2023

Waliotia Saini mikataba hiyo Jijini Dar es Salaam, ni Waziri wa Fedha na Mpango, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba na Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia, Bw. Nathan Belete.

Kanisa Katoliki Geita lafungwa kwa muda
Africa East Africa

Kanisa Katoliki Geita lafungwa kwa muda

Asia GambaFebruary 28, 2023February 28, 2023

Uamuzi huo umetolewa leo na kupitia waraka wa Askofu wa Jimbo Katoliki la Geita, Flavian Kassala, ikiwa ni siku mbili tangu kutokea kwa uvamizi na uharibifu ndani ya kanisa hilo, lililopo Mtaa wa Jimboni, Kata ya Buhalahala mjini Geita.

Aliyegongwa na basi la mwendokasi atambuliwa na ndugu zake.
Africa East Africa

Aliyegongwa na basi la mwendokasi atambuliwa na ndugu zake.

Asia GambaFebruary 28, 2023February 28, 2023

Majeruhi huyo ayetambulika kwa jina la ‘Osam Milanzi’ na kutajwa kuwa mkazi wa Manzese Midizini, ametambuliwa siku moja baada ya kuanza kuongea na kujitaja kwa jina la Osam mkazi wa Manzese.

Kenya yatoa leseni kwa Taifa Gas, inayomilikiwa na bilionea Mtanzania Rostam Aziz
Business / Finance East Africa People

Kenya yatoa leseni kwa Taifa Gas, inayomilikiwa na bilionea Mtanzania Rostam Aziz

Joy CheptooFebruary 24, 2023February 24, 2023

Taifa Gas ndiyo kampuni kubwa zaidi ya usambazaji wa LPG nchini Tanzania

Raila Atoa Makataa Ya Siku 14 Kwa Serikali Ya Rais Ruto Kupunguza Gharama Ya Maisha nchini Kenya.
Africa Politics

Raila Atoa Makataa Ya Siku 14 Kwa Serikali Ya Rais Ruto Kupunguza Gharama Ya Maisha nchini Kenya.

Davis MberiaFebruary 22, 2023February 22, 2023

Odinga ambaye siku ya Jumatano Februari 22 aliandaa mkutano wa maombi katika bustani ya Jeevanjee jijini Nairobi alisema kuwa wakenya wamechoka na serikali ya Kenya Kwanza kutotimiza ahadi walizotoa katika kipindi cha kampeni.

Tanzania yaidhinisha kibali cha ujenzi wa bomba la mafuta la dola bilioni 3.5
Africa East Africa

Tanzania yaidhinisha kibali cha ujenzi wa bomba la mafuta la dola bilioni 3.5

Asia GambaFebruary 21, 2023February 21, 2023

Bomba hilo lenye urefu wa kilomita 1,443 (maili 900) litasafirisha mafuta ghafi kutoka kwenye maeneo makubwa ya mafuta yanayotengenezwa katika Ziwa Albert kaskazini-magharibi mwa Uganda hadi bandari ya Tanzania kwenye Bahari ya Hindi kwa ajili ya kupelekwa katika masoko ya kimataifa.

Tanzania yaidhinisha mradi wa bomba la mafuta wenye thamani ya dola bilioni 3.5
Business / Finance East Africa People

Tanzania yaidhinisha mradi wa bomba la mafuta wenye thamani ya dola bilioni 3.5

Joy CheptooFebruary 21, 2023February 21, 2023

Bomba hilo lenye urefu wa kilomita 1,443 litasafirisha mafuta ghafi kutoka Ziwa Albert kaskazini magharibi mwa Uganda hadi bandari ya Tanzania

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy