Ethiopia yafanya mkutano wa kwanza wa kamati ya amani
Bodi maalum iliyoteuliwa na serikali ya Ethiopia kuangalia uwezekano wa mazungumzo ya amani na waasi wa Tigray imefanya mkutano wake wa kwanza, msaidizi mkuu wa Waziri Mkuu Abiy Ahmed alisema
Bodi maalum iliyoteuliwa na serikali ya Ethiopia kuangalia uwezekano wa mazungumzo ya amani na waasi wa Tigray imefanya mkutano wake wa kwanza, msaidizi mkuu wa Waziri Mkuu Abiy Ahmed alisema
Tigrayans have spent several months without access to basic services such as electricity, telecommunications, internet and banking.
WHO warns that people are starving to death.
Ethiopian army likely launching a new major offensive to drive out Tigray forces.