Mahakama ya ufisadi Kenya yafuta kesi dhidi ya naibu rais Rigathi Gachagua
Hakimu Victor Wakumile alionya washtakiwa kuwa wanaweza kukamatwa tena katika siku zijazo kwa makosa kama hayo.
Hakimu Victor Wakumile alionya washtakiwa kuwa wanaweza kukamatwa tena katika siku zijazo kwa makosa kama hayo.
Zaidi ya hayo, kaunti zitahimizwa kuondoa ada za leseni za biashara mpya zilizoanzishwa na watu wenye ulemavu, huku zikiondoa ushuru wa vifaa vyote vya usaidizi kwa walemavu vinavyoagizwa kutoka nje.
Utafiti huo pia ulifichua kuwa wengi wa wafuasi wa Naibu Rais Ruto ni vijana wenye umri wa miaka 18-35, huku Odinga akiungwa mkono na wazee.
Wakati Uchaguzi Mkuu unapokaribia, vyama vya siasa vinaharakisha kukamilisha mchujo wa vyama vyao kabla muda wa makataa Aprili 22,2022
Mjumbe wa Kenya DR Congo, alikiri kumekuwa na “maoni hasi” baada ya matamshi ya Dkt Ruto kuhusu nchi hiyo kukosa uwezo wa kufuga ng’ombe wa maziwa.
“Nipo tayari kupatanishwa na Rais Uhuru.” Mhe. William Ruto