• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Uganda

Mwanawe Odinga, Winnie Odinga kuwakilisha Kenya katika bunge la Afrika Mashariki
East Africa Politics

Mwanawe Odinga, Winnie Odinga kuwakilisha Kenya katika bunge la Afrika Mashariki

Victor WanaswaNovember 18, 2022November 18, 2022

Winnie Odinga, Binti mdogo wa Raila Odinga akiibuka wa pili kwa kura 247, jambo ambalo linamfungulia njia ya kuwakilisha taifa la Kenya kwa muhula wa miaka mitano katika bunge la EALA lililoko mjini Arusha.

Kizza Besigye: Uongozi sharti urejeshwe kwa wananchi wa Uganda
East Africa Politics

Kizza Besigye: Uongozi sharti urejeshwe kwa wananchi wa Uganda

Victor WanaswaNovember 17, 2022November 17, 2022

Besigye anasisitiza kwamba uongozi Uganda unatekelezwa kupitia jeshi ambalo alibaini kuwa linawafahamisha raia kuhusu mfalme wa kifalme anayekuja.

Rais Museveni amewateua majaji watatu wapya katika Mahakama ya Juu
East Africa People

Rais Museveni amewateua majaji watatu wapya katika Mahakama ya Juu

Joy CheptooNovember 16, 2022November 16, 2022

Rais Museveni amewateua Majaji Christopher Madrama Izama, Stephen Musota na Elizabeth Musoke katika Mahakama ya Juu

Ebola Uganda: Museveni asimamisha usafirishaji wa lori za magogo huko Mubende, Kassanda
East Africa Lifestyle & Health People

Ebola Uganda: Museveni asimamisha usafirishaji wa lori za magogo huko Mubende, Kassanda

Joy CheptooNovember 16, 2022November 16, 2022

Hii ilifuatia visa ambapo madereva wa lori walibeba watu kutoka wilaya hizo mbili kutoroka kutoka maeneo yaliyozuiliwa

UGANDA: Mafuvu ya kichwa yaibiwa kwenye makaburi ya Kibuku
Africa East Africa

UGANDA: Mafuvu ya kichwa yaibiwa kwenye makaburi ya Kibuku

Joy CheptooNovember 14, 2022November 14, 2022

Ufukuaji wa maiti ni nadra nchini Uganda na mara nyingi umekuwa ukihusishwa na shughuli za kitamaduni katika baadhi ya maeneo ya mbali nchini humo

Ebola inaua watu 54 ndani ya miezi miwili – WHO
Africa East Africa Lifestyle & Health

Ebola inaua watu 54 ndani ya miezi miwili – WHO

Joy CheptooNovember 14, 2022November 14, 2022

Wilaya ya Mubende, iliyosajili kesi ya kwanza, imepoteza watu 29 kati ya vifo 54 vilivyosajiliwa

Shirika la Ndege la Uganda kuanza safari za kwenda Nigeria Desemba
Africa Arts & Culture Business / Finance East Africa People

Shirika la Ndege la Uganda kuanza safari za kwenda Nigeria Desemba

Joy CheptooNovember 1, 2022November 1, 2022

Safari za ndege kwenda Lagos zitaanza kabla ya mwisho wa Desemba wakati safari za ndege kwenda Abuja zitaanza mwaka 2023

Maelfu waandamana mashariki mwa DRC kupinga Rwanda
Africa

Maelfu waandamana mashariki mwa DRC kupinga Rwanda

Victor WanaswaOctober 31, 2022July 2, 2024

Kundi la M23 lililojaa Watutsi, lilianza tena mapigano mwishoni mwa 2021 baada ya kusalia kimya kwa miaka mingi

Ebola Uganda: Serikali yapiga marufuku ziara za shule, sherehe za kuaga wanaomaliza
East Africa Lifestyle & Health

Ebola Uganda: Serikali yapiga marufuku ziara za shule, sherehe za kuaga wanaomaliza

Joy CheptooOctober 31, 2022October 31, 2022

Kulingana na ripoti iliyotolewa na Ismail Mulindwa, Kaimu Katibu Mkuu wa wizara hiyo, marufuku hiyo itadumu hadi mwisho wa muhula wa sasa

Mtoto wa Museveni, Jenerali Muhoozi ajivunia kuwa atakuwa rais wa Uganda
Africa East Africa People Politics

Mtoto wa Museveni, Jenerali Muhoozi ajivunia kuwa atakuwa rais wa Uganda

Joy CheptooOctober 28, 2022October 28, 2022

“Njia pekee ninayoweza kumlipa mama yangu ni kwa kuwa Rais wa Uganda! Na hakika nitafanya hivyo!!” Jenerali Muhoozi aliandika katika ukurasa wake wa Twitter.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy