Uhuru, Ruto wakaa mbali mbali katika mkutano wa maombi ya kitaifa
Wakati wa hafla hiyo iliyofanyika katika Hoteli ya Safari Park jijini Nairobi, Uhuru na Ruto walikaa kwa utulivu kila mmoja akishiriki kwenye meza yake tofauti.
Wakati wa hafla hiyo iliyofanyika katika Hoteli ya Safari Park jijini Nairobi, Uhuru na Ruto walikaa kwa utulivu kila mmoja akishiriki kwenye meza yake tofauti.
Kuondolewa kwa jaji kunaweza tu kuanzishwa na JSC ikifanya kazi kwa hoja yake yenyewe au kwa ombi la mtu yeyote kwa tume.
Mahakama ya Upeo nchini Kenya iliamua Alhamisi kwamba pendekezo lenye utata la Rais Uhuru Kenyatta kufanya marekebisho ya katiba si halali
Jopo la majaji saba katika Mahakama ya Juu itafanya uamuzi kuhusu uhalali wa mapendekezo hayo kufuatia kukataliwa kwake na Mahakama Kuu na Mahakama ya Rufaa
It is believed that prior to this, Raila and Mwai Kibaki had signed a memorandum of understanding (MOU) in which Kibaki was to appoint Raila as Prime Minister
“We affirmed the need for cooperation with bilateral commitment at global levels to deal with pandemics of this nature now and in the future. Both Zimbabwe and Kenya are committed to enhance cooperation towards mitigating the adverse effects of climate change and other environmental issues,”
“We all know the challenges that Kenya and the entire continent of Africa went through in the earlier stages of this pandemic that resulted in Africa being left behind. Not because of want but because of lack and Moderna has come to fill that space,”
Makubaliano ya kisiasa yamekuwa ya kawaida miongoni mwa wanasiasa katika kipindi chote cha baada ya ukoloni.
Kauli ya tume ya uchaguzi inajiri baada ya Chege kudai kuwa chama cha Jubilee kilishinda uchaguzi mkuu wa 2017 baada ya kuiba kura
The handshake and the Building the Bridges Initiative evolved alongside the emerging signs of a collapse of the pact between Kenyatta and his deputy Ruto.