Amerika yashutumu amri ya nyuklia ya Putin, ikisema vikosi vya Urusi vimekumbana na matatizo
Kulingana na taarifa ya Pentagon, jeshi la Urusi halijafikia malengo ambayo lilikuwa limejiwekea kabla ya kuvuka mpaka na kuingia Ukraine.
Kulingana na taarifa ya Pentagon, jeshi la Urusi halijafikia malengo ambayo lilikuwa limejiwekea kabla ya kuvuka mpaka na kuingia Ukraine.
Moscow ina hazina kubwa zaidi ya silaha za nyuklia na hifadhi kubwa ya makombora ya balestiki