William Ruto declared 5th President of Kenya
The Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC) chairman Wafula Chebukati on Monday 15th August declared William Ruto as the 5th President of Kenya.
The Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC) chairman Wafula Chebukati on Monday 15th August declared William Ruto as the 5th President of Kenya.
Mteule huyu anatarajiwa kuapishwa baada ya siku 14 ambapo atapokea kijiti cha uongozi wakati ambapo nchi ina hali mbaya ya kiuchumi
Huenda wakenya wakafahamu kiongozi atakayechukua uongozi kutoka rais anayeondoka madarakani Uhuru Kenyatta leo
Raila Odinga na William Ruto wamekuwa na uhusiano wa upendo na uhasama kwa muongo mmoja sasa, wote wakiwa wamechangia pakubwa…
Wakenya watakuwa wanawachagua nafasi sita za uongozi, ikiwa ni rais, magavana, maseneta, wawakilishi wa wanawake, wabunge na wawakilishi
Kenya goes to the polls on Tuesday in a closely fought race to elect the fifth president since independence from Britain six decades ago.
Naibu Rais William Ruto wa Kenya Kwanza na Raila Odinga wa Muungano wa Azimio La Umoja walitoa wito wao wa…
Mkurugenzi Mtendaji wa sekretarieti ya urais ya Azimio, Raphael Tuju ameibuka na ufichuzi wa kushtua kwamba DP Ruto alilipwa mabilioni ili kuungana na Rais Kenyatta katika uchaguzi wa 2013.
Wanasiasa wamekuwa wakitoa kiasi kidogo cha pesa taslimu au vitu vingine kwa watu wanaojitokeza kwenye mikutano yao ya kampeni kabla ya kura ya Agosti 9
Former prime minister Raila Odinga, 77, would not take part, his campaign team said Sunday, accusing Ruto, 55, of trying to avoid certain topics such as corruption.