• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: William Ruto

Wagombea wanne wanaowania urais katika uchaguzi wa Kenya Agosti 9
Features People Politics

Wagombea wanne wanaowania urais katika uchaguzi wa Kenya Agosti 9

Maureen MedzaJune 7, 2022June 7, 2022

Wagombea wanne wameidhinishwa kushiriki kinyang’anyiro cha kuwa rais wa Kenya, akiwemo naibu wa rais wa sasa William Ruto na Raila Odinga.

Kenya: Raila Odinga azindua manifesto yake anapowania kiti cha rais
East Africa Features People Politics

Kenya: Raila Odinga azindua manifesto yake anapowania kiti cha rais

Maureen MedzaJune 7, 2022June 7, 2022

Mgombea urais wa muungano wa Azimio Raila Odinga Jumatatu alizundua manifesto yake yenye ahadi 10, akiahidi kuinua uchumi ndani ya siku 100 za uongpzi wake kama Rais wa Kenya.

Kenya: Itifaki yavunjwa ,Ruto akosa kuwahutubia  wakenya katika sherehe za madaraka
East Africa Features People Politics

Kenya: Itifaki yavunjwa ,Ruto akosa kuwahutubia wakenya katika sherehe za madaraka

Maureen MedzaJune 1, 2022June 1, 2022

Uhuru, ambaye pia ni mlezi katika Muungano wa Azimio La Umoja One Kenya amemtaja Raila kama mtu bora zaidi kumrithi, kwa kile naibu wake Ruto amekitaja kuwa usaliti.

Uhuru, Ruto wakaa mbali mbali katika mkutano  wa maombi ya kitaifa
East Africa Features People Politics

Uhuru, Ruto wakaa mbali mbali katika mkutano wa maombi ya kitaifa

Maureen MedzaMay 26, 2022May 26, 2022

Wakati wa hafla hiyo iliyofanyika katika Hoteli ya Safari Park jijini Nairobi, Uhuru na Ruto walikaa kwa utulivu kila mmoja akishiriki kwenye meza yake tofauti.

Martha Karua, Mgombea mwenza wa Raila Odinga
Entertainment Features People Politics

Martha Karua, Mgombea mwenza wa Raila Odinga

Maureen MedzaMay 19, 2022May 19, 2022

Martha Karua huenda akawa naibu rais wa kwanza mwanamke katika historia ya Kenya, iwapo Muungano wa, Azimio la Umoja One Kenya, utashinda uchaguzi wa Agosti 9.

Kenya: Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka IEBC yatangaza majina 38 ya wagombea binafsi wa urais
East Africa Features Politics

Kenya: Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka IEBC yatangaza majina 38 ya wagombea binafsi wa urais

Maureen MedzaMay 19, 2022May 19, 2022

Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka imetangaza kwenye gazeti la serikali majina 38 ya wagombea urais wanaotaka kuwania kiti cha urais katika uchaguzi wa Agosti kama wagombea binafsi.

Kenya: Uteuzi wa wagombea viti katika chama cha UDA wafanyika
Features Politics

Kenya: Uteuzi wa wagombea viti katika chama cha UDA wafanyika

Maureen MedzaApril 14, 2022April 14, 2022

Wakati Uchaguzi Mkuu unapokaribia, vyama vya siasa vinaharakisha kukamilisha mchujo wa vyama vyao kabla muda wa makataa Aprili 22,2022

Mahakama ya Upeo Kenya yatupilia mbali mpango wa BBI uliolenga kufanya marekebisho ya katiba
East Africa Features Politics

Mahakama ya Upeo Kenya yatupilia mbali mpango wa BBI uliolenga kufanya marekebisho ya katiba

Maureen MedzaMarch 31, 2022March 31, 2022

Mahakama ya Upeo nchini Kenya iliamua Alhamisi kwamba pendekezo lenye utata la Rais Uhuru Kenyatta kufanya marekebisho ya katiba si halali

Mahakama ya juu nchini Kenya kutoa uamuzi kuhusu mpango wa BBI
East Africa Features Politics

Mahakama ya juu nchini Kenya kutoa uamuzi kuhusu mpango wa BBI

Maureen MedzaMarch 31, 2022March 31, 2022

Jopo la majaji saba katika Mahakama ya Juu itafanya uamuzi kuhusu uhalali wa mapendekezo hayo kufuatia kukataliwa kwake na Mahakama Kuu na Mahakama ya Rufaa

Kiongozi wa ODM Raila Odinga aanza ziara Uingereza
East Africa Features People Politics

Kiongozi wa ODM Raila Odinga aanza ziara Uingereza

Maureen MedzaMarch 14, 2022March 14, 2022

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo