Matamshi ya Naibu Rais William Ruto kuhusu Wakongo yazua gadhabu
Mjumbe wa Kenya DR Congo, alikiri kumekuwa na “maoni hasi” baada ya matamshi ya Dkt Ruto kuhusu nchi hiyo kukosa uwezo wa kufuga ng’ombe wa maziwa.
Mjumbe wa Kenya DR Congo, alikiri kumekuwa na “maoni hasi” baada ya matamshi ya Dkt Ruto kuhusu nchi hiyo kukosa uwezo wa kufuga ng’ombe wa maziwa.
Makubaliano ya kisiasa yamekuwa ya kawaida miongoni mwa wanasiasa katika kipindi chote cha baada ya ukoloni.
Kulingana na Wajackoyah, uuzaji wa bangi katika masoko ya nje kutasaidia kupunguza madeni ya kitaifa na hivyo kupunguza mzigo wa deni na nchi ya China
Kauli ya tume ya uchaguzi inajiri baada ya Chege kudai kuwa chama cha Jubilee kilishinda uchaguzi mkuu wa 2017 baada ya kuiba kura
The handshake and the Building the Bridges Initiative evolved alongside the emerging signs of a collapse of the pact between Kenyatta and his deputy Ruto.
Rais Uhuru Kenyatta alitumia katiba kumteua Naibu Rais William Ruto kaimu rais kwa muda wa siku tatu alipokuwa The Hague Uholanzi.
“Nipo tayari kupatanishwa na Rais Uhuru.” Mhe. William Ruto