• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: William Ruto

Martha Karua, Mgombea mwenza wa Raila Odinga
Entertainment Features People Politics

Martha Karua, Mgombea mwenza wa Raila Odinga

Maureen MedzaMay 19, 2022May 19, 2022

Martha Karua huenda akawa naibu rais wa kwanza mwanamke katika historia ya Kenya, iwapo Muungano wa, Azimio la Umoja One Kenya, utashinda uchaguzi wa Agosti 9.

Kenya: Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka IEBC yatangaza majina 38 ya wagombea binafsi wa urais
East Africa Features Politics

Kenya: Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka IEBC yatangaza majina 38 ya wagombea binafsi wa urais

Maureen MedzaMay 19, 2022May 19, 2022

Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka imetangaza kwenye gazeti la serikali majina 38 ya wagombea urais wanaotaka kuwania kiti cha urais katika uchaguzi wa Agosti kama wagombea binafsi.

Kenya: Uteuzi wa wagombea viti katika chama cha UDA wafanyika
Features Politics

Kenya: Uteuzi wa wagombea viti katika chama cha UDA wafanyika

Maureen MedzaApril 14, 2022April 14, 2022

Wakati Uchaguzi Mkuu unapokaribia, vyama vya siasa vinaharakisha kukamilisha mchujo wa vyama vyao kabla muda wa makataa Aprili 22,2022

Mahakama ya Upeo Kenya yatupilia mbali mpango wa BBI uliolenga kufanya marekebisho ya katiba
East Africa Features Politics

Mahakama ya Upeo Kenya yatupilia mbali mpango wa BBI uliolenga kufanya marekebisho ya katiba

Maureen MedzaMarch 31, 2022March 31, 2022

Mahakama ya Upeo nchini Kenya iliamua Alhamisi kwamba pendekezo lenye utata la Rais Uhuru Kenyatta kufanya marekebisho ya katiba si halali

Mahakama ya juu nchini Kenya kutoa uamuzi kuhusu mpango wa BBI
East Africa Features Politics

Mahakama ya juu nchini Kenya kutoa uamuzi kuhusu mpango wa BBI

Maureen MedzaMarch 31, 2022March 31, 2022

Jopo la majaji saba katika Mahakama ya Juu itafanya uamuzi kuhusu uhalali wa mapendekezo hayo kufuatia kukataliwa kwake na Mahakama Kuu na Mahakama ya Rufaa

Kiongozi wa ODM Raila Odinga aanza ziara Uingereza
East Africa Features People Politics

Kiongozi wa ODM Raila Odinga aanza ziara Uingereza

Maureen MedzaMarch 14, 2022March 14, 2022
Matamshi ya Naibu Rais William Ruto kuhusu Wakongo yazua gadhabu  
East Africa People Politics

Matamshi ya Naibu Rais William Ruto kuhusu Wakongo yazua gadhabu  

Maureen MedzaFebruary 17, 2022February 17, 2022

Mjumbe wa Kenya DR Congo, alikiri kumekuwa na “maoni hasi”  baada ya matamshi ya Dkt Ruto kuhusu nchi hiyo kukosa uwezo wa kufuga ng’ombe wa maziwa.

Kenya: Vyama vya kisiasa na miungano ya kisiasa
East Africa Features People Politics

Kenya: Vyama vya kisiasa na miungano ya kisiasa

Maureen MedzaFebruary 15, 2022February 15, 2022

Makubaliano ya kisiasa yamekuwa ya kawaida miongoni mwa wanasiasa katika kipindi chote cha baada ya ukoloni.

Mkinichagua kuwa rais nitahalalisha bangi na kupunguza siku rasmi za kufanya kazi; Muaniaji urais Kenya
Features People Politics

Mkinichagua kuwa rais nitahalalisha bangi na kupunguza siku rasmi za kufanya kazi; Muaniaji urais Kenya

Maureen MedzaFebruary 14, 2022February 15, 2022

Kulingana na Wajackoyah, uuzaji wa bangi katika masoko ya nje kutasaidia kupunguza madeni ya kitaifa na hivyo kupunguza mzigo wa deni na nchi ya China

Kenya: Tume ya IEBC yamtaka Sabina Chege kufika mbele yake
East Africa Features People Politics

Kenya: Tume ya IEBC yamtaka Sabina Chege kufika mbele yake

Maureen MedzaFebruary 12, 2022February 12, 2022

Kauli ya tume ya uchaguzi inajiri baada ya Chege kudai kuwa chama cha Jubilee kilishinda uchaguzi mkuu wa 2017 baada ya kuiba kura

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo