JENGO LA GHOROFA 70 KUJENGWA ZANZIBAR
Zanzibar kujenga jumba la kihistoria lenye ghorofa 70 katika kisiwa cha Chapwani Mjini Unguja.
Zanzibar kujenga jumba la kihistoria lenye ghorofa 70 katika kisiwa cha Chapwani Mjini Unguja.
Makundi maalum yaani ‘key populations’ huchangia katika maambukizi mapya ya ugonjwa wa Ukimwi. Mwanahabari wetu @medzamaureen alizungumza na mwanaharakati wa makundi ya LGBTQ na watu wanaoishi na VVU kuhusiana na mchango wao katika kuangamiza janga la Ukimwi
Mataifa 163 yanashiriki michezo ya Paralympics mwaka huu huku wanariadha 4,400 wakishiriki katika michezo 22.
Hakainde Hichilema aapishwa kama Rais mpya wa Zambia baada ya kuwania kiti hicho mara tano.
The FIBA AfroBasket 2021 championships is set to begin on Tuesday 24th/08/2021 in Kigali, Rwanda.
South Sudan’s parliament is set to be inaugurated tomorrow (23rd-Aug-2021).
Mfanyabiashara Isaya Mnuo amesema alikamatwa na Askari sita kwa kudadi alikua na bunda la mirungi akitafuna na kumpiga Hadi kusababishia uvimbe Katika mguu wake.
Ugonjwa wa Marburg ulizuka mara ya kwanza nchi Ujerumani katika miji ya Marburg na Frankfurt.
Australian scientists say they have developed a non-invasive strip that checks glucose levels via saliva, meant for blood sugar testing for diabetics.
As president, Hichilema will inherit a troubled economy in a country where more than half the population is living below the poverty line.