The UN releases $40 million for scaling up emergency operations in Ethiopia
WHO warns that people are starving to death.
WHO warns that people are starving to death.
Saif al-Islam Gaddafi, a son of Libya’s former ruler Moammar Gaddafi, filed paperwork Sunday to run for president,
Zipo kazi ambazo unaweza kufanya bila kuhitaji stakabadhi za chuo kikuu au kuhitaji tajriba ya miaka mingi.
Kulingana na wanahistoria, Mansa Musa bado ndio mtu tajiri zaidi aliyewahi kuishi,thamani yake kwa viwango vya fedha vya sasa ni dola bilioni 400.
FW de Klerk alisaidia kukomesha enzi ya ubaguzi wa rangi Afrika Kusini, na akawa mmoja wa manaibu marais wawili baada ya uchaguzi wa vyama vingi mwaka 1994 ambao ulishuhudia Bw Mandela akiwa rais
De Klerk negotiated a peaceful transfer of power to a black-led government under the late Nelson Mandela.
Akiwa Rais Mujica hakubadili maisha yake hata kidogo, 90% ya mshahara wake ambao ulikuwa ni takriban $12,000 ulitumika kuwasaidia wasiojiweza katika jamii.
Maafisa wa udhibiti wa muziki Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) walikuwa wamepiga marufuku nyimbo mbili zinazomshambulia Rais Felix Tshisekedi. Kufikia Jumatano jioni maafisa wa udhibiti wa muziki walikuwa wameondoa marufuku kwa wimbo mmoja “Nini Tosali Te” (kwa lugha ya lingala, ‘’Ni kipi hatukufanya’)
Lawyers of the family of the deceased say the household is demanding for answers over the death of their loved one.
Movement of aid workers in and out of Tigray region by road has been barred since October 28.