• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: February 21, 2022

Upinzani Zimbabwe unaishutumu serikali kwa udanganyifu katika uchaguzi
Africa People Politics

Upinzani Zimbabwe unaishutumu serikali kwa udanganyifu katika uchaguzi

Maureen MedzaFebruary 21, 2022February 21, 2022

Mnangagwa, ambaye alichukua madaraka mwaka 2017 baada ya Mugabe anashutumiwa kwa kuwanyamazisha wapinzani.

Uuzaji asali isiyochakatwa nje ya nchi wapigwa marufuku.
Africa

Uuzaji asali isiyochakatwa nje ya nchi wapigwa marufuku.

Asia GambaFebruary 21, 2022February 21, 2022

Serikali ya Tanzania imezuia uuzaji wa asali isiyochakatwa kwenda nje ya nchi ikisema uuzaji huo unaondoa thamani ya zao hilo.

WHO: Janga la UVIKO- 19 halijaisha na ulimwengu unapaswa kutarajia “aina hatari zaidi ya virusi” kuibuka
Africa Features International Lifestyle & Health

WHO: Janga la UVIKO- 19 halijaisha na ulimwengu unapaswa kutarajia “aina hatari zaidi ya virusi” kuibuka

Maureen MedzaFebruary 21, 2022February 21, 2022

“UVIKO 19 bado ni hatari ikiwa “83% ya wakazi wa Afrika bado hawajapokea dozi ya kwanza ya chanjo,” Tedros Adhanom Ghebreyesus WHO

China: Mwanamume ashikiliwa kama ‘mtumwa wa damu’ na kutolewa damu kwa miezi kadhaa
Asia International

China: Mwanamume ashikiliwa kama ‘mtumwa wa damu’ na kutolewa damu kwa miezi kadhaa

Maureen MedzaFebruary 21, 2022February 21, 2022

Li alitolewa damu nyingi sana hivi kwamba watekaji wake walianza kumtoa damu kichwani kwani mishipa ya mikononi haikuweza tena kutoa damu ya kutosha.

Kamati ya uchunguzi wa mauaji ya Mtwara yaongezewa siku 7
Africa

Kamati ya uchunguzi wa mauaji ya Mtwara yaongezewa siku 7

Asia GambaFebruary 21, 2022February 21, 2022

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameongeza siku saba kwa kamati maalum iliyopewa jukumu la kuchunguza mauaji yaliyofanyika mkoani Mtwara na Wilaya ya Kilindi mkoani Tanga.

Zimbabwe: Wafuasi 80 wa upinzani wakamatwa  wakifanya kampeni
Africa People Politics

Zimbabwe: Wafuasi 80 wa upinzani wakamatwa wakifanya kampeni

Maureen MedzaFebruary 21, 2022February 21, 2022

Aliyekuwa waziri wa fedha na makamu wa rais wa CCC, Tendai Biti, pia alizuiliwa kwa saa kadhaa alipokuwa akifanya kampeni.

Vitoa machozi vyafyatuliwa dhidi ya waandamanaji Sudan
Africa Features Politics

Vitoa machozi vyafyatuliwa dhidi ya waandamanaji Sudan

Maureen MedzaFebruary 21, 2022February 21, 2022

Maandamano yameitikisa nchi hiyo tangu mkuu wa jeshi Abdel Fattah al-Burhan kuongoza unyakuzi wa kijeshi mwezi Oktoba

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo