• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: March 23, 2022

Ukosevu wa fedha wasababisha Tamasha la Sauti za Busara kufungwa
Africa East Africa

Ukosevu wa fedha wasababisha Tamasha la Sauti za Busara kufungwa

Asia GambaMarch 23, 2022March 23, 2022

Pazia la Sauti la Sauti za Busara linafungwa ikiwa ni baada ya takribani miaka 19 tangu lianze ambapo limekuwa likiwakutanisha wasanii mbalimbali kutoka ndani na nje ya nchi.

Zelensky: Mazungumzo ya amani na Urusi magumu
Africa

Zelensky: Mazungumzo ya amani na Urusi magumu

Asia GambaMarch 23, 2022March 23, 2022

Amebainisha kuwa wapatanishi wanafanya kazi bila kuchoka na kwamba watapumzika watakaposhinda. Kiongozi huyo wa Ukraine ameishukuru jumuiya ya kimataifa kwa kuiunga mkono nchi yake. 

Ummy:Hakuna kirusi kipya cha Corona kilichoingia Tanzania
Africa East Africa

Ummy:Hakuna kirusi kipya cha Corona kilichoingia Tanzania

Asia GambaMarch 23, 2022March 23, 2022

Waziri wa Afya nchini Tanzania, Ummy Mwalimu, amesema kirusi kipya cha Omicrom.DA 1,  ambacho ni muunganiko wa virusi vya Delta na Omicrom bado hakijaingia nchini humo

Taliban yafunga tena shule za sekondari za Wasichana
Africa

Taliban yafunga tena shule za sekondari za Wasichana

Asia GambaMarch 23, 2022March 23, 2022

Msemaji wa Taliban, Inamullah Samangani amethibitisha kuwa shule hizo kweli zimefungwa na wanafunzi wa kike wameamriwa kurudi nyumbani, hadi taarifa nyingine itakapotolewa. 

Urusi yashambulia ghala la silaha za Ukraine.
Europe War & Conflicts

Urusi yashambulia ghala la silaha za Ukraine.

Asia GambaMarch 23, 2022July 2, 2024

Imeshambulia ghala hilo kwa kutumia makombora ya masafa marefu yaliyorushwa kutoka baharini. 

Zaidi ya watu milioni tatu ndio waliopata chanjo kamili ya UVIKO-19 Tanzania
Africa East Africa

Zaidi ya watu milioni tatu ndio waliopata chanjo kamili ya UVIKO-19 Tanzania

Asia GambaMarch 23, 2022March 23, 2022

Waziri Ummy ameyasema hayo leo wakati akipokea msaada shehena ya chanjo ya UVIKO-19, aina SINOVAC dozi milioni moja kutoka kwa Serikali ya Uturuki

Mahakama yaondoa kesi ya Nondo, baada ya DPP kutokuwa na nia ya kuendelea nayo
Africa East Africa

Mahakama yaondoa kesi ya Nondo, baada ya DPP kutokuwa na nia ya kuendelea nayo

Asia GambaMarch 23, 2022March 23, 2022

Nondo alikuwa anashtakiwa kwa makosa mawili, moja ni kuchapisha taarifa za uongo mtandaoni na mbili, kutoa taarifa za uongo kwa mtumishi wa umma Mafinga.

Odinga kuanza mikutano ya hadhara Machi 25
Africa East Africa

Odinga kuanza mikutano ya hadhara Machi 25

Asia GambaMarch 23, 2022March 23, 2022

Hii ni baada ya kurejea nchini Kenya akitokea Uingereza ambako alikuwa na ziara maalum.

Former Central Africa militia head appears at ICC
Africa People

Former Central Africa militia head appears at ICC

Aska MakoriMarch 23, 2022March 23, 2022

He is suspected of, among other things, murder, extermination, deportation or forcible transfer of people, imprisonment, torture, persecution, cruel treatment and mutilation. 

Sindano ya Cabotegravir, tiba mpya ya kuzuia maambukizi ya VVU
Africa East Africa

Sindano ya Cabotegravir, tiba mpya ya kuzuia maambukizi ya VVU

Asia GambaMarch 23, 2022March 23, 2022

Sindano hiyo inachukua wiki nane kabla ya muathirika kupewa dozi nyingine badala ya tembe za kumeza

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo