• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: March 31, 2022

Idadi ya waliofariki kutokana na UVIKO-19 nchini Afrika Kusini yafikia 100,000
Africa Features Lifestyle & Health

Idadi ya waliofariki kutokana na UVIKO-19 nchini Afrika Kusini yafikia 100,000

Maureen MedzaMarch 31, 2022March 31, 2022

Afrika Kusini ndio nchi iliyoathiriwa zaidi barani Afrika kutokana na UVIKO 19, ikihesabu zaidi ya visa milioni 3.7 vya maambukizi ya ugonjwa wa coronavirus ikiwa ni zaidi ya asilimia 30

CAG Kichere kuanza ukaguzi wa fedha za COVID-19
Africa East Africa

CAG Kichere kuanza ukaguzi wa fedha za COVID-19

Asia GambaMarch 31, 2022March 31, 2022

CAG Kichere aliyasema hayo wakati anakabidhi ripoti yake ya ukaguzi ya mwaka wa fedha 2020/2021 kwa Rais Samia Suluhu Hassan, katika Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma jana, Machi 30,2022.

Wahamiaji haramu 55 watiwa mbaroni mkoani Katavi
Africa East Africa

Wahamiaji haramu 55 watiwa mbaroni mkoani Katavi

Asia GambaMarch 31, 2022March 31, 2022

Pia kati ya wahamiaji hao, saba bado wanafanyiwa uchunguzi uraia wao na kwamba wamekamatwa kupitia doria endelevu.

Marubani waliozuia kutokea kwa ajali ya ndege nchini Tanzania kupewa tuzo Maalum
Africa East Africa

Marubani waliozuia kutokea kwa ajali ya ndege nchini Tanzania kupewa tuzo Maalum

Asia GambaMarch 31, 2022March 31, 2022

Marubani hao ni wa Shirika la Ndege (ATCL), imeeleza kuwa walionesha ujasiri kwa kuzuia kutokea ya ajali ya ndege yao yenye namba TC 110 Airbus  A 220 ikiwa na abiria 84.

Prof Ngowi na dereva wake kuagwa leo
Africa East Africa

Prof Ngowi na dereva wake kuagwa leo

Asia GambaMarch 31, 2022March 31, 2022

Prof Ngowi na dereva wake walifariki dunia siku ya Jumatatu Machi 28,2022  kwa ajali ya gari iliyotokea Mlandizi mkoani Pwani walipokuwa safarini kwenda mkoani Morogoro.

Misri yawasilisha malalamiko kuhusu tabia ya mashabiki baada ya kupoteza mechi yao na Senegal
Africa Features Football International Sports

Misri yawasilisha malalamiko kuhusu tabia ya mashabiki baada ya kupoteza mechi yao na Senegal

Maureen MedzaMarch 31, 2022March 31, 2022

Siku ya Jumanne, Pharoahs wa Misri walikosa nafasi ya kucheza Kombe la Dunia nchini Qatar baada ya kushindwa na Senegal katika Uwanja wa michezo wa Diamniadio huko Dakar.

Waziri wa Afya nchini Tanzania asema huduma za afya katika hospitali za Serikali ni Mbovu.
Africa East Africa

Waziri wa Afya nchini Tanzania asema huduma za afya katika hospitali za Serikali ni Mbovu.

Asia GambaMarch 31, 2022March 31, 2022

Waziri huyo alitoa kauli hiyo jana jijini Dodoma nchini Tanzania wakati alipokuwa akifugua mkutano wa Baraza Kuu la Wafanyakazi wa Wizara ya Afya nchini humo.

Mahakama ya juu nchini Kenya kutoa uamuzi kuhusu mpango wa BBI
East Africa Features Politics

Mahakama ya juu nchini Kenya kutoa uamuzi kuhusu mpango wa BBI

Maureen MedzaMarch 31, 2022March 31, 2022

Jopo la majaji saba katika Mahakama ya Juu itafanya uamuzi kuhusu uhalali wa mapendekezo hayo kufuatia kukataliwa kwake na Mahakama Kuu na Mahakama ya Rufaa

Posts navigation

Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo