Hospitali Muhimbili yakana kuhusika na kusambaza video za Prof Jay akiwa ICU
Video hiyo iliyosambazwa mitandaoni inamuonesha msanii huyo akiwa chumba cha wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalum yaani ICU.
Video hiyo iliyosambazwa mitandaoni inamuonesha msanii huyo akiwa chumba cha wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalum yaani ICU.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Urlich Matei amesema tukio hilo limetokea Machi 3, 2022 majira ya saa 2 za asubuhi.
Kamanda wa Polisi MKoa wa Arusha ACP Justine Masejo, amethibitisha kutokea kwa tukio hilo, na kusema kuwa limetokea Machi 9,2022 majira ya saa 7 mchana katika kijiji cha Alaitore huko Ngorongoro.
A critically endangered species of bats not sighted in 40 years has been found in Rwanda, with the “incredible” discovery delighting conservationists who had feared it was already extinct.
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Takwimu za Kijamii, Ruth Minja, alisema mfumuko wa bei kwa taifa unapima kiwango cha kasi ya mabadiliko ya bei za bidhaa na huduma zote zinazotumiwa na kaya binafsi.
“As I have stated before, elections have the potential to be a nation-building moment, or a catastrophe,” the UN envoy for South Sudan, Nicholas Haysom, told the Security Council.
“We all know the challenges that Kenya and the entire continent of Africa went through in the earlier stages of this pandemic that resulted in Africa being left behind. Not because of want but because of lack and Moderna has come to fill that space,”
Kampuni nyingine McDonald’s, Coca-Cola na Starbucks waliondoa biashara zao Urusi
Akitoa taarifa hiyo leo, Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Uhamiaji Mkoani Iringa, Agnes Luziga amesema raia hao wamekamatwa jana March 8, 2022 majira ya saa moja jioni.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo na Mkurugenzi wa Mawasiliano Serikalini, Emmanuel Buhohela imesema kwa sasa hakuna mwanafunzi kutoka Tanzania aliyebaki kwenye Chuo cha Taifa cha Sumy kilichopo nchini Ukraine baada ya kundi hilo la mwisho kufanikiwa kuondoka.