• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: April 20, 2022

Nigeria: Watu watatu wameuawa na wengine 19 kujeruhiwa katika shambulizi kwenye baa
Africa Features

Nigeria: Watu watatu wameuawa na wengine 19 kujeruhiwa katika shambulizi kwenye baa

Maureen MedzaApril 20, 2022April 20, 2022

Taraba ni mojawapo ya majimbo kadhaa ya kaskazini yaliyoharibiwa na magenge ya wahalifu wa wezi wa mifugo wanaovamia vijiji, kuua wakazi na kupora nyumba pamoja na kuwateka nyara watu ili wadai fidia.

Mashine za kukusanyia mapato hazionekani kwenye mifumo
Africa

Mashine za kukusanyia mapato hazionekani kwenye mifumo

Asia GambaApril 20, 2022April 20, 2022

Hayo yamo katika ripoti kuu ya mwaka ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali ya Ukaguzi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa kwa Mwaka wa Fedha 2020/21.

Mwanariadha wa Bahrain mzaliwa wa Kenya apatikana kafariki nyumbani kwake
East Africa Features People Sports

Mwanariadha wa Bahrain mzaliwa wa Kenya apatikana kafariki nyumbani kwake

Maureen MedzaApril 20, 2022April 20, 2022

Mutua, 28, alishindania Kenya kama mwanariadha mwenye umri mdogo na kushinda medali mbili za shaba katika Michezo ya Olimpiki ya Vijana ya 2010 huko Singapore

Ziwa Tanganyika lafurika na kuwalazimu waburundi kuhama makazi yao
Africa Features

Ziwa Tanganyika lafurika na kuwalazimu waburundi kuhama makazi yao

Maureen MedzaApril 20, 2022April 20, 2022

Asilimia 65 ya watu waliohamishwa kutokana na kufirika kwa ziwa hilo ni watoto.

CAG:Kuna upungufu wa watumishi wa umma 8,356 kwenye mashirika 29
Africa

CAG:Kuna upungufu wa watumishi wa umma 8,356 kwenye mashirika 29

Asia GambaApril 20, 2022April 20, 2022

Alitaja sababu za upungufu wa watumishi hao kuwa ni ucheleweshaji wa vibali vya kuajiri katika Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora.

Wasiojulikana wamuua kikongwe wa miaka 90 nchini Tanzania
Africa

Wasiojulikana wamuua kikongwe wa miaka 90 nchini Tanzania

Asia GambaApril 20, 2022April 20, 2022

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Katavi, ACP Ally Makame amethibitisha tukio hilo na kusema upelelezi unaendelea ili watuhumiwa wakamatwe.

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo