• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: April 21, 2022

Italia yatia saini mkataba wa gesi na Angola ikitaka kukomesha utegemezi kwa Urusi
Africa Europe Features International Politics

Italia yatia saini mkataba wa gesi na Angola ikitaka kukomesha utegemezi kwa Urusi

Maureen MedzaApril 21, 2022April 21, 2022

Italia inataka kuongeza Angola na Congo-Brazzaville kwenye orodha ya mataifa wasambazaji wa gesi kuchukua nafasi ya Urusi, ambayo huisambazia Italia takriban asilimia 45 ya gesi

Sherehe za Muungano kufanyika tofauti
Africa

Sherehe za Muungano kufanyika tofauti

Asia GambaApril 21, 2022April 21, 2022

Maadhimisho hayo yatafanyika katika ukumbi wa mikutano wa Jakaya Kikwete jijini humo kwa kufanyika uzinduzi wa andiko yaani kitabu cha historia ya Muungano pamoja na kongamano.

Bodi ya Parole yaridhia wafungwa 82 kuachiwa huru
Africa

Bodi ya Parole yaridhia wafungwa 82 kuachiwa huru

Asia GambaApril 21, 2022April 21, 2022

Kabla ya wafungwa hao kuachiwa huru majina yao yanapelekwa kwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi kujiridhisha na kuidhinisha waachiwe huru au la. 

Serikali yatoa maelekezo kuhusu zuio la bodaboda na bajaji kuingia mjini
Africa

Serikali yatoa maelekezo kuhusu zuio la bodaboda na bajaji kuingia mjini

Asia GambaApril 21, 2022April 21, 2022

Tangazo la kusitisha vyombo hivyo vya usafiri kuingia katikati ya Jiji lilitolewa jana Jumatano Aprili 20, 2022, ambapo utekelezaji wa agizo hilo ulipaswa kuanza kutekelezwa leo April 21.

Amuua mwenzake kisa kugombania dagaa
Africa

Amuua mwenzake kisa kugombania dagaa

Asia GambaApril 21, 2022April 21, 2022

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Safia Jongo amesema chanzo cha tukio hilo ni ugomvi wa kugombania unga, dagaa pamoja na simu  iliyopelekea wawili hao kupigana kwa kutumia mapanga.

Zaidi ya watu milioni 5 wakimbia vita nchini Ukraine
Africa Europe War & Conflicts

Zaidi ya watu milioni 5 wakimbia vita nchini Ukraine

Asia GambaApril 21, 2022July 2, 2024

Kamishna Mkuu wa shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR, Filippo Grandi amesema waukraine 5,034,439 wameondoka nchini mwao tangu kuanza kwa uvamizi wa Urusi tarehe 24 ya mwezi Februari mwaka huu.  

Asilimia 63 ya madaktari hawafati miongozo iliyowekwa.
Africa

Asilimia 63 ya madaktari hawafati miongozo iliyowekwa.

Asia GambaApril 21, 2022April 21, 2022

Mfumo wa Tehama ‘IT’ umeonyesha ni asilimia 37 pekee ya madaktari ambao wamekuwa wakiuliza wagonjwa wanaowatibu na kujaza historia zao huku wakiwapa maelezo mbalimbali muhimu ikiwamo kwanini wanawapima na umuhimu wa kutumia dawa.

Posts navigation

Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo