• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: May 10, 2022

Polisi wa Tanzania, watumia mabomu kuwatawanya wanafunzi waliofunga barabara mkoani Geita
Africa East Africa

Polisi wa Tanzania, watumia mabomu kuwatawanya wanafunzi waliofunga barabara mkoani Geita

Asia GambaMay 10, 2022May 10, 2022

Polisi mkoani Geita wamelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wananchi na wanafunzi wa shule ya Sekondari ya Buseresere waliofunga Barabara Kuu ya Bukoba-Mwanza baada ya gari la kampuni ya Fikoshi kumgonga mwanafunzi na kufariki dunia papo hapo.

Tanzania: Wachoma gari la Hakimu kisha watokomea
Africa East Africa

Tanzania: Wachoma gari la Hakimu kisha watokomea

Asia GambaMay 10, 2022May 10, 2022

Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia jana ambapo watu wasiofahamika walichoma moto gari la Hakimu huyo ambaye anaishi kwenye nyumba za Mahakama

Malkia akosa kufunguliwa kwa bunge la Uingereza kwa mara ya kwanza tangu 1963
Europe Features International People Politics

Malkia akosa kufunguliwa kwa bunge la Uingereza kwa mara ya kwanza tangu 1963

Maureen MedzaMay 10, 2022May 10, 2022

Malkia Elizabeth II mwenye umri wa miaka 96 kwa kawaida husimamia tukio hilo lililojaa fahari

Mitaala 51 ya elimu yahakikiwa Tanzania
Africa

Mitaala 51 ya elimu yahakikiwa Tanzania

Asia GambaMay 10, 2022May 10, 2022

Serikali kupitia Baraza la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi, imehakiki mitaala 51 kati ya 150 iliyoandaliwa na vyuo vya elimu ya ufundi kwa lengo la kuhakikisha kuwa mafunzo yanayotolewa yanakidhi mahitaji ya soko la ajira.

Bilioni 100 zatolewa kukabiliana na upandaji bei wa Mafuta Tanzania
Africa East Africa

Bilioni 100 zatolewa kukabiliana na upandaji bei wa Mafuta Tanzania

Asia GambaMay 10, 2022May 10, 2022

Akiwasilisha taarifa ya hali ya mafuta bungeni, waziri Makamba amesema, ruzuku hiyo haita athiri miradi ya serikali inayoendelea na uamuzi huo ni hatua ya serikali ya muda mfupi kupunguza ongezeko la bei ya mafuta kabla ya Mwaka mpya wa fedha.

Raia 14 wauawa katika shambulizi mashariki mwa DR Congo
Africa East Africa Features Politics

Raia 14 wauawa katika shambulizi mashariki mwa DR Congo

Maureen MedzaMay 10, 2022May 10, 2022

CODECO — jina la Ushirika wa Maendeleo ya Congo — ni dhehebu la kisiasa-kidini ambalo linadai kuwakilisha maslahi ya kabila la Lendu.

Wanawake wa Afghanistan wapinga agizo la Taliban kufunika nyuso na vazi la burqa
Asia Features Middle East

Wanawake wa Afghanistan wapinga agizo la Taliban kufunika nyuso na vazi la burqa

Maureen MedzaMay 10, 2022May 10, 2022

Akhundzada pia aliamuru mamlaka kuwafuta kazi wafanyikazi wa serikali wa kike ambao hawafuati kanuni mpya ya mavazi, na kuwasimamisha kazi wafanyikazi wa kiume ikiwa wake na binti zao watakosa kufuata sheria hizo.

Mwanawe rais wa zamani wa Ufilipino Ferdinard Marcos apata ushindi wa urais
Asia Features International People Politics

Mwanawe rais wa zamani wa Ufilipino Ferdinard Marcos apata ushindi wa urais

Maureen MedzaMay 10, 2022May 10, 2022

Ushindi wa Marcos ni pigo kubwa kwa mamilioni ya Wafilipino ambao walitarajia kubadili mwelekeo baada ya miaka sita ya umwagaji damu ya utawala wa kimabavu wa Rais Rodrigo Duterte.

Mazungumzo ya COP15 yakukabiliana na kuenea kwa jangwa yafanyika Abidjan
Africa Features Nature People

Mazungumzo ya COP15 yakukabiliana na kuenea kwa jangwa yafanyika Abidjan

Maureen MedzaMay 10, 2022May 10, 2022

Miongo kadhaa ya kilimo kisicho endelevu kimedhoofisha udongo duniani kote na kuharakisha ongezeko la joto duniani na upotevu wa viumbe, UNCCD inasema, huku takriban asilimia 40 ya ardhi ikiharibika kote duniani.

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo