• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Day: May 17, 2022

Maandamano ya kupinga ongezeko la bei za bidhaa muhimu lafanyika jijini Nairobi,Kenya
East Africa Features Politics

Maandamano ya kupinga ongezeko la bei za bidhaa muhimu lafanyika jijini Nairobi,Kenya

Maureen MedzaMay 17, 2022May 17, 2022

Kufikia mwisho wa Februari 2022, Wakenya milioni 3.1 kati ya milioni 47 walikuwa wanahitaji msaada wa chakula.

Raia wawili wa Kenya wadakwa na polisi wa Tanzania wakisafirisha magunia 15  ya mirungi 
Africa

Raia wawili wa Kenya wadakwa na polisi wa Tanzania wakisafirisha magunia 15  ya mirungi 

Asia GambaMay 17, 2022May 17, 2022

Wakenya hao wanatuhumiwa kumiliki mirungi hiyo na kuisafirisha kwenda maeneo mbalimbali ya Mikoa ya Arusha, Manyara na Kilimanjaro.

Spika wa bunge la Tanzania, ayataka magari ya viongozi yawe yanazimwa kupunguza gharama za mafuta.
Africa East Africa

Spika wa bunge la Tanzania, ayataka magari ya viongozi yawe yanazimwa kupunguza gharama za mafuta.

Asia GambaMay 17, 2022May 17, 2022

Dk Tulia amesema hayo leo bungeni jijini Dodoma huku akiwashauri viongozi wa Serikali nchi nzima isipokuwa wanaoruhusiwa kiitifaki, kufanya hivyo akisema kuwa utekelezaji wa agizo hilo utasaidia kubana matumizi ya mafuta ya Serikali.

Kongamano la Africities laanza rasmi mjini Kisumu,Kenya
Arts & Culture East Africa Features International

Kongamano la Africities laanza rasmi mjini Kisumu,Kenya

Maureen MedzaMay 17, 2022May 17, 2022

Kaulimbiu ya mkutano huo mwaka huu ni, “Wajibu wa miji ya barani Afrika katika utekelezaji wa Ajenda ya Umoja wa Mataifa ya 2030 na Ajenda ya 2063 ya Umoja wa Afrika.

Maandamano yaendelea kaskazini mwa Nigeria baada ya tukio jipya la kukufuru
Africa Features

Maandamano yaendelea kaskazini mwa Nigeria baada ya tukio jipya la kukufuru

Maureen MedzaMay 17, 2022May 17, 2022

Maandamano yalifanyika siku chache baada ya mwanamke mwingine kushutumiwa kwa kukufuru na kuuawa na kundi la watu katika jimbo la Sokoto.

Utawala wa Mali unasema ulifaulu kuzuia jaribio la mapinduzi
Africa Features People Politics

Utawala wa Mali unasema ulifaulu kuzuia jaribio la mapinduzi

Maureen MedzaMay 17, 2022May 17, 2022

Kikosi cha kijeshi cha Mali kilisema kilizuia jaribio la mapinduzi wiki iliyopita lililoongozwa na maafisa wa jeshi na kuungwa mkono na nchi ya Magharibi

Rais wa Guinea-Bissau avunja bunge
Africa Features People Politics

Rais wa Guinea-Bissau avunja bunge

Maureen MedzaMay 17, 2022May 17, 2022

Rais Umaro Sissoco Embalo alivunja bunge la Guinea-Bissau na kusema uchaguzi wa mapema wa bunge utafanyika mwaka huu ili kutatua mzozo wa kisiasa uliodumu kwa muda mrefu.

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo